Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions

On JF:

wana JF habarini za majukum! Hope week inaanza vyema kwa wengi wetu, jamani natamani sana kuingia kwenye field ya biashara na sijui ni wapi nianzie mwenye mawazo naomba anisaidie sambamba na hilo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikiwasikia watu wengi anapoongea kiswahili au lugha ya asili basi huweza kusema jambo hili kwa kitaalamu hujulikana kama..................hapo atataja neno hilo kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi!kabla ya yote napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa manajamvi kwa michango ya mawazo mbalimbali ambayo inatusaidia wengi wetu. wana jf wamekua sio wachoyo wa...
0 Reactions
75 Replies
17K Views
Mkurungezi wa NSSF Anasema:- "Nawasihi waajiri kulipa michango ya wafanyakazi kwa wakati ili wanufaike na shirika letu pia tunajitahidi kukamilisha miradi ya ujenzi wa daraja la Kigamboni na...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari zenu wanajamvi wenzangu mlioshiriki na msio shiriki siku hii ya Chai day. Binafsi sikubahatika kuwepo ktk hafla hii basi cc wote ambao hatukushiriki tunaomba wale walishiriki watudokeze...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1) Biashara ya kahawa nje ya nchi AAAOE - Sales leads, Business directory, B2B, Trade Leads, Wholesale, Import, Export, Marketplace, Bulletin board 2) Soko la chai nje ya nchi (Black tea)...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
wajameni mie nataka kurudi bongo kufanya business, nina mtaji wa kama milion200 hivi, je ni biashara gani ambayo itanifaa? nilikuwa nawaza kufungua warehouse ya kuhuza vitu vya ujenzi lakini sijui...
0 Reactions
61 Replies
9K Views
Those who are planning to buy shares in Precision Air should be cautious as the airline seems to be in a financial crisis and are only looking for capital, there are also rumours of lots of...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Business doesn't get done without credit.Neither, for that matter, does much in modern life in general. This means we must deal with banks, an action that makes people nervous and disheartened.It...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
I am happy to be back again and bravo for the CHAI meeting!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kwa sasa hivi kusajili LLC ina weza kugharimu kiasi gani apa Tanzania yani gharama zote mpaka ka kampuni imesimama?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Any one with Radio Station, i am doing Radio Production that includes Radio Programming (Mastering new schedules by considering compentence activities) We also train staffs about radio production...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WADAU UMEME UMEKUWA MTAJI MKUBWA WA MAFISADI ,VIONGOZI WETU WAMETAJIRIKA KUTOKANA NA UMEME NA MATATIZO YANAONGEZEKA KILA SIKU KUTOKANA NA UMEME NAOMBA UJADILI NA TUTOE MAPENDEKEZO MBADALA KWA HILI...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Wasalaam, Upo mchakato wa kuongeza na ama kuingiza sekta binafsi katika ununuzi wa kahawa mbivu kutoka kwa mkulima(Cherry) . Hii itasaidia kupitisha kahawa nyingi zaidi katika mitambo ya kati...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam kwenu, 1. Naomba nisaidiwe kwenye hili, Ninapo/tunapo deposit pesa zetu Bank, wao Bank wanazifanyia nini hizi pesa? 2. Ni vipi unaweza ku-insure pesa, mfano ninapesa zangu nataka...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
:bump: Salaam kwenu waungwana wote! Nafikiria kununua Ki-gari to JPN in Apr 2011, Plz naomba kufahamishwa gharama nitakazo paswa kuzilipa hadi linakuwa kwa barabara, bila gharama ya kununua na...
0 Reactions
19 Replies
10K Views
Wanajamii forums, natafuta soko la computer madhubuti kabisa used and brand new. Desk tops and laptops. Desk Tops ambazo ni brand new ni za kisasa kabisa ambazo computer system imekuwa built in...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wadau jamani yoyote anayeweza kunisaidia juu ya hili nitashukuru sana.Nina project nimeanzisha ya kilimo cha umwagiliaji maeneo ya Kisarawe tatizo ni kwamba sina acess ya maji kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau kuna marafiki zangu wame register kampuni, wako wanne, kampuni yao ina share zenye thamani ya sh milioni kumi lakini cha ajabu the whole process haijawakost hata sh milioni moja.!!? ivi hili...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
In recent years there have been prices skyrocketing on consumers' goods and services in Tanzania caused by mismanagement of our economy; from planning to implementation aspects but at the end of...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…