thanx mdau nitakupigia for sure! wazo zuri sana.Hizo ni pesa nyingi sana na ni pesa ndogo sana. Inategemea. Kama unapenda kilimo, sikuhizi kilimo ni biashara siyo kama zamani. Kwa pesa hiyo utaweza pata eneo na ili upate mfumo wa umwagiliaji maji, mahindi ya kuchuma yanafaida kubwa kwani utalima kwa mwaka mara 6 na kila ekari moja itakupatia mahindi elfu 28 mgegu ya mahindi mawili mawili.
Kama unapenda uana zuoni hizo unaweza kuanzisha shule ya msingi au sekondari. Sheria ya kuanzisha shule tanzania inataka uwe walau una minimum ya ekari 3, ujenge madarasa 3. maktaba, maabara na toilets pamoja na ofisi za walimu. Ukiweka walimu wazuri chukuwa kila darasa wanafunzi 35 wakulipe milioni 2 kwa mwaka ukiwa na Streams A na B utakusanya mil 75 kwa mwaka gharama za uendeshaji bila kujali kuwekeza upya, {madarasa mapya} haitazidi asilimia 35. shule kodi nyingi ni msamaha. Nipe mimi dola 5000 Nikuandikie mchanganuo na nitakusaidia hadi kusajili shule. Au twanga +255 718 194606
Asanteni sana wadau, comments zune zimenifungua snaa macho, nimeziprint and then nitazifania kazi. si unajua tena Dar land it is very expensive, nitaangalia maeneo ya morogoro pia. mungu awabariki sana.Jamani tuweni makini katika kumpa ushauri huyu mwenzetu. Zitasaidia na wengine, kama huna idea basi soma tu,waweza elimika.
Kama ulivyodokezwa hapo juu ni muhim kusema region of interest na pia interest zako wewe. Kwasbabu kufanikiwa kwako kunategemea interest pia,don't under estimate that. Ukitujulisha hayo nafkiri michango yaweza kua mingi zaidi.