Smarter
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 527
- 110
Salaam kwenu,
1. Naomba nisaidiwe kwenye hili, Ninapo/tunapo deposit pesa zetu Bank, wao Bank
wanazifanyia nini hizi pesa?
2. Ni vipi unaweza ku-insure pesa, mfano ninapesa zangu nataka zikae home....Naweza kuzi
insure?
3. kama nimechukua Mkopo sehemu, naweza ku insure hiyo pesa, Je mfano nimechukua
Million 15.........Insurance charge inaweza kuwa Kiasi gani % gani ya pesa hii?
Tafadhali msaada tafadhali, Unaweza kunijibu swali lolote kati ya haya.
Asanteni
1. Naomba nisaidiwe kwenye hili, Ninapo/tunapo deposit pesa zetu Bank, wao Bank
wanazifanyia nini hizi pesa?
2. Ni vipi unaweza ku-insure pesa, mfano ninapesa zangu nataka zikae home....Naweza kuzi
insure?
3. kama nimechukua Mkopo sehemu, naweza ku insure hiyo pesa, Je mfano nimechukua
Million 15.........Insurance charge inaweza kuwa Kiasi gani % gani ya pesa hii?
Tafadhali msaada tafadhali, Unaweza kunijibu swali lolote kati ya haya.
Asanteni