The recent newspaper advertisement by Qatar Airways (QR) to the effect that the airline is now flying twelve (12) times a week into the country was not only eye-catching but mind boggling as well...
Habari zenu wakuu?
Jamani ningependa kuelimishwa kidogo kuhusu kampuni za simu Bongo zinavyo fanya kazi. Nina maswali haya
1: Mtu yeyote anaweza kufungua kampuni?
2: Is there a price...
Ndugu wakaka na wadada wa jf, kwa wale wanaotaka kufanya biashara ya stationeries za aina mbalimbali, kama uko mikoani au dar es salaam na unajua sehemu za kusupply aina mbalimbali za stationery...
Kwa wale wote walio nje, wenye wapenzi bongo nataka kuwapa fursa ya kutuma maua na vitu vengine! General costs ...flowers usd 40/=includes a card with message! chocolates usd 10/=, wine usd 20...
jamani wana jamnvi nataka kufungua mradi wa gym ya kisasa, je nini mahitaji na vifaa vya msingi kuanzia ni vipi. Naweza kuanza na kiasi gani maana gharama ya vifaa hivyo sijajua bado.
Baada ya kuangalia ni nini matajiri wote wanacho (what have they got in common)??..... Na kupitia vitabu tofauti na my own personal experience ya kuangalia watu; Nimegundua kuwa matajiri wote wana...
Habari wana Jamii,
Tunapoanza mwaka ni vyema kuwa na malenge ama NDOTO au VISION kadhaa ambazo mtu angependa kufikia, nina malengo na ndoto nyingi kwa mwaka huu lakini moja ya ndoto hiyo ni...
Kukua kwa teknolojia siku hizi kumerahisisha mambo mengi,moja wapo la hayo mambo ni uwekaji au uhamishaji wa fedha kwa kutumia kampuni zitoazo huduma za simu za mkononi,lakini kila jambo zuri...
I have never met a rich person who has never lost money. But I have met a lot of poor peoplewho have never lost a dime ------investing,that is.
By Rich/poor dady.
Nilipofanya utafiti bubu...
Wadau janvini kila siku tumekuwa tukishauriana mambo ya biashara kupitia nyanja mbalimbalije naweza kuelewesha kwa hili kwa mfano nina millioni 60 ambazo ningependa kununua Hisa popote pale...
Wadau habari za mchana?
Nina mpango wa kuagiza gari ya mzigo canter tani 3 toka Japan kwa ajiri ya kunisaidia katika biashara zangu. Nina maswali yafuatayo ningependa msaada toka kwenu;
1. Je...
No pilitics. please...
Nimeanzisha uzi huu tuchambue mashirika ya ummma .Leo naanza specific na Tanesco .Hapa tu assume kashfa ya dowans imekwisha. au haikuwai kutoea
Kwa mujibu wa...
Wakuu wanajamvi waslam aleikum.
Ninaomba msaada kwa mwanajamvi yeyote mwenye uzoefu wa hizi gari aina mbili anisaidie. Haswa haswa kwa Information kama.
1. Ulaji wa mafuta
2. Upatikanaji wa Spare...
Kwako Ndugu Ibrahim Mussa.
Kwanza kabisa nakupongeza kuteuliwa kushika wazifa wa Mkurugenzi wa utalii nchini. Ni nafasi kubwa na nina imani kwa uzoefu wako unaweza kusimamia vema rasilimali hii ya...
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii amemteua Bw. Ibarahim Mussa kuwa kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Utalii kuanzia tarehe 01 February 2011.
Uteuzi huo ameufanya kwa mujibu wa kifungu cha 6 (1)...
In recent years there have been skyrocketing on prices of consumers' goods and services in Tanzania caused by mismanagement of our economy; from planning to implementation aspect but at the end of...