Habari zenu wakuu?
Jamani ningependa kuelimishwa kidogo kuhusu kampuni za simu Bongo zinavyo fanya kazi. Nina maswali haya
1: Mtu yeyote anaweza kufungua kampuni?
2: Is there a price agreement imewekwa na government? kwamba lazima bei ziwe kiasi flani? au is it a free market?
3: Kuna ugumu wa kupata license (mambo ya kuonga)
4: Unaweza ku rent minara ya airtel kwa mfano au lazima mtu awe na minara yake?
Jamani kiswahili kina nichenga kidogo, mtanisamehe.
Jamani ningependa kuelimishwa kidogo kuhusu kampuni za simu Bongo zinavyo fanya kazi. Nina maswali haya
1: Mtu yeyote anaweza kufungua kampuni?
2: Is there a price agreement imewekwa na government? kwamba lazima bei ziwe kiasi flani? au is it a free market?
3: Kuna ugumu wa kupata license (mambo ya kuonga)
4: Unaweza ku rent minara ya airtel kwa mfano au lazima mtu awe na minara yake?
Jamani kiswahili kina nichenga kidogo, mtanisamehe.