Nxt Millionaire
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 406
- 89
Habari wana Jamii,
Tunapoanza mwaka ni vyema kuwa na malenge ama NDOTO au VISION kadhaa ambazo mtu angependa kufikia, nina malengo na ndoto nyingi kwa mwaka huu lakini moja ya ndoto hiyo ni kuingiza japo Milioni 50 kwa mwezi, sijui kama ni Tsh, $ au sikumbuku ni alama ipi niliiona ndotoni, kwangu hiyo haijalishi mradi ifike 50m au zaidi.
Najua kuna watu humu jamvini wanakwazika sana unapozungumzia kuhusu pesa au faranga, sijui ni sababu gani zinazowakwaza, lakini kama vile Yusufu pamoja na kukwazwa na kuchukiwa na nduguze hakuacha kuwaelezea ndoto zake, nami mniwie radhi iwapo nitamkwaza yoyoten kwa VISION zangu lakini sina budi kuiweka wazi kwa ni lazima itakuwa halisi siku moja.
Waweza FUATILIA HAPA ikiwa ujakwazika au wapenda kujua zaidi.
Kazi njema kwa wote.
Tunapoanza mwaka ni vyema kuwa na malenge ama NDOTO au VISION kadhaa ambazo mtu angependa kufikia, nina malengo na ndoto nyingi kwa mwaka huu lakini moja ya ndoto hiyo ni kuingiza japo Milioni 50 kwa mwezi, sijui kama ni Tsh, $ au sikumbuku ni alama ipi niliiona ndotoni, kwangu hiyo haijalishi mradi ifike 50m au zaidi.
Najua kuna watu humu jamvini wanakwazika sana unapozungumzia kuhusu pesa au faranga, sijui ni sababu gani zinazowakwaza, lakini kama vile Yusufu pamoja na kukwazwa na kuchukiwa na nduguze hakuacha kuwaelezea ndoto zake, nami mniwie radhi iwapo nitamkwaza yoyoten kwa VISION zangu lakini sina budi kuiweka wazi kwa ni lazima itakuwa halisi siku moja.
Waweza FUATILIA HAPA ikiwa ujakwazika au wapenda kujua zaidi.
Kazi njema kwa wote.