50M per month one of my wish for 2011

Nxt Millionaire

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
406
89
Habari wana Jamii,
Tunapoanza mwaka ni vyema kuwa na malenge ama NDOTO au VISION kadhaa ambazo mtu angependa kufikia, nina malengo na ndoto nyingi kwa mwaka huu lakini moja ya ndoto hiyo ni kuingiza japo Milioni 50 kwa mwezi, sijui kama ni Tsh, $ au € sikumbuku ni alama ipi niliiona ndotoni, kwangu hiyo haijalishi mradi ifike 50m au zaidi.

Najua kuna watu humu jamvini wanakwazika sana unapozungumzia kuhusu pesa au faranga, sijui ni sababu gani zinazowakwaza, lakini kama vile Yusufu pamoja na kukwazwa na kuchukiwa na nduguze hakuacha kuwaelezea ndoto zake, nami mniwie radhi iwapo nitamkwaza yoyoten kwa VISION zangu lakini sina budi kuiweka wazi kwa ni lazima itakuwa halisi siku moja.

Waweza FUATILIA HAPA ikiwa ujakwazika au wapenda kujua zaidi.

Kazi njema kwa wote.
 
Nimefuatilia ndugu yangu,nimeona ndani kuna forever living wakati Mungu kasema watu wote tutakufa,halafu mbona kuna nyuzi mbili za aina moja au una majina mawili mkuu? Na ile ya juzi imeishia wapi? Ni maoni mkuu,usinielewe vibaya.
 
Nakutakia kila la kheri. Inawezekana kabisa, hata hapa TZ kuna watu wanapata zaidi ya hizo tena si kwa ufisadi. Kaza buti KAKA.
 
Nimefuatilia ndugu yangu,nimeona ndani kuna forever living wakati Mungu kasema watu wote tutakufa,halafu mbona kuna nyuzi mbili za aina moja au una majina mawili mkuu? Na ile ya juzi imeishia wapi? Ni maoni mkuu,usinielewe vibaya.

Mkuu sijakupata wamaanisha nini, kwamba wote tufe sasa au?
 
Nakutakia kila la kheri. Inawezekana kabisa, hata hapa TZ kuna watu wanapata zaidi ya hizo tena si kwa ufisadi. Kaza buti KAKA.

Asante sana Aalim kwa kuntia moyo, nami nataka ata zaidi ya hizo za halali.
 
Mkuu sijakupata wamaanisha nini, kwamba wote tufe sasa au?

Uzi wako umeanza vizuri sana,
Niliposoma na kufika ktkt nikakutana na kitu kingine kinaitwa forever living,wakati ukweli ni kwamba hakuna biashara idumuyo milele chini ya jua. Lugha isikutishe,ila hiyo forever living ndio duh inatisha. Si kwamba siijui.
 
Next millionaire hata mimi nina ndoto za kuwa millionaire ila tu nadhani njia tunazotumia kufika huko zinatofautiana kuwa na ndoto malengo au--- chochote utakachokiita ni jambo la kwanza kwani maisha ni kama safari ukiwa na ndoto au malengo unajua unakokwenda, taabu inakuja ni jee unatumia njia gani kufika huko kihalali au fisadi,utatumia usafiri gani kufika huko, kwa miguu, bajaji, ndege meli nk. Angalizo unaweza kufika huko with honor or without honor mkuu nitafute tubadilishane mawazo birds of the same feather fly together simu yangu ni namba 0755394701
 
Utakuwa umeota 50m zim dollar! maneno ya kijiweni hayo, fanya kazi za uzalishaji: acha mambo ya "shotkati"-utapata zaidi ya hiyo kwa wiki!
 
Next millionaire hata mimi nina ndoto za kuwa millionaire ila tu nadhani njia tunazotumia kufika huko zinatofautiana kuwa na ndoto malengo au--- chochote utakachokiita ni jambo la kwanza kwani maisha ni kama safari ukiwa na ndoto au malengo unajua unakokwenda, taabu inakuja ni jee unatumia njia gani kufika huko kihalali au fisadi,utatumia usafiri gani kufika huko, kwa miguu, bajaji, ndege meli nk. Angalizo unaweza kufika huko with honor or without honor mkuu nitafute tubadilishane mawazo birds of the same feather fly together simu yangu ni namba 0755394701

Thanks, Nitakutafuta Babalao
 
Utakuwa umeota 50m zim dollar! maneno ya kijiweni hayo, fanya kazi za uzalishaji: acha mambo ya "shotkati"-utapata zaidi ya hiyo kwa wiki!

Amoeba hiyo currency sidhani kama ina-exist au ilisha exit, na hizo hata kwao hazikuwa za kuota bali kuokota.
Thanks for the contribution.
 
Uzi wako umeanza vizuri sana,
Niliposoma na kufika ktkt nikakutana na kitu kingine kinaitwa forever living,wakati ukweli ni kwamba hakuna biashara idumuyo milele chini ya jua. Lugha isikutishe,ila hiyo forever living ndio duh inatisha. Si kwamba siijui.

Ndugu yangu katika dunia hii ili uweze kupiga hatua kimaendeleo unabudi kupanga mikakati na malengo kama hakuna kufa yaani You will live forever, ingawa twapaswa kufanya ibada na kuomba Mungu sana kama twafa kesho, ila utakapoishi kama wafa kesho na kusali kama waishi milele utapata matokeo bila shaka lakini hayatakuwa sawa na huyo wa mwanzo.
Good Lucky.
 
Kwa faida yetu, Saidia Jukwaa kuonyesha ni vipi malengo yaweza timia.......
 
Kwa faida yetu, Saidia Jukwaa kuonyesha ni vipi malengo yaweza timia.......

Nimekusoama Smarter, bila shaka nitaonesha jinsi gani nimetimiza malengo hayo, nashukuru Mungu kwamba kwa mzwezi wa January nimefikia asilimia 10 ya lengo, najua kwa msaaada wa Mungu anayejibu maombi mwezi huu wa pili nitafikia kama si alilimia 100 ya lengo basi karibu yake kiduuuchu.
 
Nimekusoama Smarter, bila shaka nitaonesha jinsi gani nimetimiza malengo hayo, nashukuru Mungu kwamba kwa mzwezi wa January nimefikia asilimia 10 ya lengo, najua kwa msaaada wa Mungu anayejibu maombi mwezi huu wa pili nitafikia kama si alilimia 100 ya lengo basi karibu yake kiduuuchu.

bado unazunguka tu....
 
Mkuu.ngoja tukutakie kila la heri ktk kutimiza ndoto zako.ili mradi tu utumie njia za amani ktk kutekeleza malengo yako, usitumie njia za shari, au za kifisadi.Kila kitu kinawezekana chini ya jua kwake anayeamini na kutenda.GOOD LUCK MAN.
 
Mkuu.ngoja tukutakie kila la heri ktk kutimiza ndoto zako.ili mradi tu utumie njia za amani ktk kutekeleza malengo yako, usitumie njia za shari, au za kifisadi.Kila kitu kinawezekana chini ya jua kwake anayeamini na kutenda.GOOD LUCK MAN.
Asante sana mkuu na ubarikiwe, ni njia halali kabisa, no ufisadi, no shari, its by LEGAL MEANS.
Thank and God bless you.
 
Back
Top Bottom