Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
No pilitics. please...
Nimeanzisha uzi huu tuchambue mashirika ya ummma .Leo naanza specific na Tanesco .Hapa tu assume kashfa ya dowans imekwisha. au haikuwai kutoea
Kwa mujibu wa wikipedia wanasema
Sasa tunaweza wapi kupata takwimu na uchambuzi wa mambo mbali mbali
Nimeanzisha uzi huu tuchambue mashirika ya ummma .Leo naanza specific na Tanesco .Hapa tu assume kashfa ya dowans imekwisha. au haikuwai kutoea
Kwa mujibu wa wikipedia wanasema
Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) is a Tanzanian parastatal organisation established in 1964. It is wholly owned by the government of Tanzania. The Ministry of Energy and Minerals regulates the operations of TANESCO.
Its business include: electricity generation, electricity transmission, electricity distribution and sale of electricity to the Tanzanian mainland and bulk power supply to the island of Zanzibar.
The company has a workforce of 4,896 persons. Its main offices are located in Dar es Salaam and it operates regional offices throughout Tanzania.[1]
Sasa tunaweza wapi kupata takwimu na uchambuzi wa mambo mbali mbali
- Tanesco au serikali inatumia wastani wa shili ngagapi kwenye miredi ya maendeleo ya umeme kila mwaka.
- Wateja wangapi wanafungiwa service line za umeme kwa mwezi. tanzania au Dar es salaam. watejawangapi wana katiwa umeme kila mwezi
- Tanesco inadaiwa na kudai madeni ya shilingi ngapi ?
- Watanzania asilimia ngapi wanatumia umeme?
- Mapato ya Tanesoni shilingi ngapi kwa mwezi
- Matumizi ya Taneso ni shilingi ngapi kwa mwezi
- Matumizi makubwa ya Tanesco ni nini na kiasi gani
- Tanesco ina wafanyakazi wangapi?wanataaluma wa umeme ni asilimiangapi ya wafanyakazi wa Tanesco
- Taneco ina movable na immabile asset za kiasi gani
- Tanesco wenyewe wanajipima umatendaji wao kwa performance indicators gani na sisi wanchi tutumie vigezo gani
- wewe GT wa jf kama ungekuwa ni decicion maker ndani ya Tanesco ungefanya nini tofauti au ungeboresha nini zaidi ?