Nini maana ya kuwa mhitimu katika fani au sekta husika? Je Watanzania wasomi tunaelewa maana halisi ya kujishughulisha na fani/utaalamu fulani au kusomea fani hizo kama ijulikanavyo na wengi wa...
Kuna kamtindo ka watu kupenda kujionyesha kwa kuvaa labels - ati Gucci, Prada, Versace,dolce & Gabana etc..etc....tabia hii inanifurahishaga sana maana sijaelewa sana hii obsession inatokana na...
Wanajamii, soma habari hii chini. Nimeichukua toka TIJA. WATANZANIA TULISHINDWA NINI KUENDESHA HII BANK, MAKABURU WANAWEZAJE[/I][/B]
QUOTED:
"Nakumbuka miaka michache iliyopita hii bank ikiwa...
Salaams wana JF,
Tafadhalini sana, naomba ambaye ana contract za wauza mbao wa Msumbiji,
au wa TZ wanao import mbao kutoka Msumbiji, anipatie.
Nahitaji Mahogany, Afrormosia, Mninga, Panga panga...
The Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA) should do something about mobile phone subscribers being bombarded with unsolicited SMS from network operator.
Mobile phone companies have...
wanajamii,
Nimeona niwataarifu WANAJAMII tatizo hili linaloweza kukupata pindi utumiapo NMB mobile kununua say LUKU. Jana nili-login kununua umeme nikapata alert SMS kuwa NOT AVAILABLE...
PART 1
Kuna msemo usemao pesa uliyonayo mkononi leo ina thamani zaidi ya pesa utakayokuwa nayo mkononi kesho. Pia kutoka katika nadharia ya Gordon (1959) kuna msemo mwingine usemao ndege...
Jamani tusaidieni sisi wapangaji wa NHC ndani ya jengo la Golden Plaza -Posta. HUyu Joint venture wa NHC amesainisha wapangaji mkataba wa kulipia huduma za umeme wa TANESCO, maji ya kisima...
WADAU
Hapa chini kunatable ambayo inaonyesha ni jinsi gani nmb, ilivyopata faida kubwa kuzizidi bank, nyingine kubwa hapa tanzania, karibuni tujadili, but make sure unaangalia kwa umakini , net...
Nahitaji kusoma master program ya Finance later this year hapahapa bongo,naomba links mbili tatu za sponsors ambao wanaweza sponsor mtu aina yangu ninayehitaji kusoma in my home country.I have...
leo asubuhi nimepata email ya kimaendeleo kutoka kwa mtanzania.imenifurahisha sana kuona sasa tunaelekea usawa wa kenya,now people are dare to venture in new avenues
please read to the end then...
Nilipost post asubuhi nikiomba msaada Javini wa taarifa hii, ila bahati nzuri nimeipata , tunaweza kushare hiyo taarifa kwa wale ambao nao hawakuwa na taarifa hii na wanataka kuwa Entrepreneurs wa...
Tumezoea kwamba elimu ya msingi ni Darasa la kwanza hadi la saba. Lakini katika hali halisi Elimu ya msingi kwa msingi wake na mane yake yaani basic or foundational education na ukitazama hali...
Baba kama unakumbuka ulinielekeza kufungua website kwa domain.co.cc na kuimask! duh nimekukubali! nipo hewani sasa! ila nimeamua iwe ya kikoffical tu iswe wikliks wataniua! Thnaks sana kikwetu...
Najaribu kufikiria jinsi bei ya bidhaa zinavyopanda kwa kasi ikilinganishwa na kipato halisi cha Mtanzania. Wakati wa siku za mwisho wa juma nilizunguka kwenye maduka ya mtaani kupata mahitaji ya...
Napenda kujua ni Taasisi gani inakopesha kwa riba nafuu na wenye masharti yasio kuwa magumu cause izi bank zetu zina ukiritimba wa hali ya juu ingawa inawezekana baadhi ambazo sizifahamu zikawa ni...
Inawezekana ikawa ni ukweli ya kuwa kuna wakati kuna matatizo ya kimtandao na hivyo kufanya mabenki yetu kutotoa huduma kwa wateja.
Hata hivyo kwa utafiti wangu mdogo kwa baadhi ya mabenki kuna...