Salaams wana JF,
Tafadhalini sana, naomba ambaye ana contract za wauza mbao wa Msumbiji,
au wa TZ wanao import mbao kutoka Msumbiji, anipatie.
Nahitaji Mahogany, Afrormosia, Mninga, Panga panga na Teak (mtiki) :
Size; (1" - 4") x (10" - 12") x (8' - 10').
unene; upana; urefu.
Kwa kuanzia nahitaji cubic meter 20 za kila aina.
Naomba bei hadi kiwandani Dar kwa cbm au kwa ubao, na utaratibu wa malipo.
Ahsanteni,
Edylux
Tafadhalini sana, naomba ambaye ana contract za wauza mbao wa Msumbiji,
au wa TZ wanao import mbao kutoka Msumbiji, anipatie.
Nahitaji Mahogany, Afrormosia, Mninga, Panga panga na Teak (mtiki) :
Size; (1" - 4") x (10" - 12") x (8' - 10').
unene; upana; urefu.
Kwa kuanzia nahitaji cubic meter 20 za kila aina.
Naomba bei hadi kiwandani Dar kwa cbm au kwa ubao, na utaratibu wa malipo.
Ahsanteni,
Edylux