Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Nimepita madukani sasa hivi kununua sabuni ya unga ya kufulia. Baada ya soko huria viwanda vingi vya sabauni vilianzishwa baadhi ni Foma (Tanga), Tesa (IPP/Mengi), na Murzah.
Hivi karibuni Murzah Oil wamevinunua viwanda vya Tesa na Foma na kuua ushinda katika sokop la sabuni za unga nchini. Nimeshtushwa sana na bei za sabuni za unga tofauti na mwaka jana ambapo nilinunua Foma ya Kg 15 kwa shs 15,000/- kutokana na ushindani w bei kati ya viwanda vya sabuni. Baada ya Murza kuvinunu viwanda vya Tesa na Foma hakuna ushindani wa bei sabuni zote hizo Foma, Tesa, na Murzah zinauzwa Shilingi 29,000/- kwa kg 15! Yaani sabuni zote bei moja.
Hivi hakuna sheria za kuongoza ushindani jamani; huyu Muhindi: Murzah anatumaliza, kanunua viuwanda vya Mengi (Tesa) na Sumaria (Foma)
na sasa bei haikamatiki yaani sekta ya viwanda vya sabuni za unga imeshikwa na Fisadi mmoja (Murzah Oil). Yaani kweli sisi ni shamba la bibi!
Nakumbuka msemo wa hayati John Nollan aliyesema Tanzania ni nchi pekee dunia ambayo unaingia askini na kutoka tajhiri!
Wizara ya Viwanda na CTI lazima wafanye kitu huyu Murza kila siku anapandisha bei za sabuni kadiri atakavyo na hakuna wa kumbabaisha, siku akigoma kuzalisha sabuni basi Tanzania yoote ni uchafu mtuppu.
Hivi karibuni Murzah Oil wamevinunua viwanda vya Tesa na Foma na kuua ushinda katika sokop la sabuni za unga nchini. Nimeshtushwa sana na bei za sabuni za unga tofauti na mwaka jana ambapo nilinunua Foma ya Kg 15 kwa shs 15,000/- kutokana na ushindani w bei kati ya viwanda vya sabuni. Baada ya Murza kuvinunu viwanda vya Tesa na Foma hakuna ushindani wa bei sabuni zote hizo Foma, Tesa, na Murzah zinauzwa Shilingi 29,000/- kwa kg 15! Yaani sabuni zote bei moja.
Hivi hakuna sheria za kuongoza ushindani jamani; huyu Muhindi: Murzah anatumaliza, kanunua viuwanda vya Mengi (Tesa) na Sumaria (Foma)
na sasa bei haikamatiki yaani sekta ya viwanda vya sabuni za unga imeshikwa na Fisadi mmoja (Murzah Oil). Yaani kweli sisi ni shamba la bibi!
Nakumbuka msemo wa hayati John Nollan aliyesema Tanzania ni nchi pekee dunia ambayo unaingia askini na kutoka tajhiri!
Wizara ya Viwanda na CTI lazima wafanye kitu huyu Murza kila siku anapandisha bei za sabuni kadiri atakavyo na hakuna wa kumbabaisha, siku akigoma kuzalisha sabuni basi Tanzania yoote ni uchafu mtuppu.