Mchaga
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,378
- 204
Nikiwa mteja wa hii benki napenda kutoa masikitiko yangu kwa tawi lenu lilopo maeneo ya mikocheni.
Kwa kipindi cha mara nne ndani ya mwezi 1 nimekwama kutoa pesa kwani huwa nakumbana na ujumbe wenye utata mkubwa.
Mara ya mwisho mwezi huu wa January nilikwenda mida ya saa 11 asubuhi ambapo mashine ya ATM ilikuwa inaonekana haina tatizo lolote lakini nilipoweka kadi yangu nilipigwa na butwaa niliposhindwa kutoa pesa.
Ukiangalia salio lipo lakini ukitaka kutoa pesa unakwama hii imenitokea mara nne kwangu binafsi ni KERO KUBWA. Hoyce na Lucy tatueni tatizo hili maana tunatoka mbali kufuata ATM mikocheni ambapo ukikwama inakubidi kwenda posta. Halafu kwa nini hamfungi mashine Mlimani City?
NI HAYO TU...ASANTENI
Kwa kipindi cha mara nne ndani ya mwezi 1 nimekwama kutoa pesa kwani huwa nakumbana na ujumbe wenye utata mkubwa.
Mara ya mwisho mwezi huu wa January nilikwenda mida ya saa 11 asubuhi ambapo mashine ya ATM ilikuwa inaonekana haina tatizo lolote lakini nilipoweka kadi yangu nilipigwa na butwaa niliposhindwa kutoa pesa.
Ukiangalia salio lipo lakini ukitaka kutoa pesa unakwama hii imenitokea mara nne kwangu binafsi ni KERO KUBWA. Hoyce na Lucy tatueni tatizo hili maana tunatoka mbali kufuata ATM mikocheni ambapo ukikwama inakubidi kwenda posta. Halafu kwa nini hamfungi mashine Mlimani City?
NI HAYO TU...ASANTENI