JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
People on social media won’t tell you their parents cover their rent. They won’t tell you an old man is funding their lifestyle in exchange for sex. They won’t tell you their “business success”...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Eti wakuu, mimi ni tandiboi wa Malori ya kwenda Congo na Malawi. Sasa baada ya kukaa nje ya Tanzania kwa miezi miwili, juzi nilirudi kusalimia mke wangu na mtoto mmoja. Kuna jamaa mmoja akatuma...
15 Reactions
47 Replies
2K Views
Nilipohamia hapa kuna mkaka nimemkuta huyu jirani simuelewi kabisa ananitumia meseji muda wote, nikitoka nje nikimwangalia ananionea aibu, na sijawahi kumuona na mwanamke ila anaonekana ana mambo...
16 Reactions
184 Replies
7K Views
Chombo cha mkuu wa anga Kamanda ni shabiki kindakindaki wa mashetani wekundu "Manchester United" toka mwaka 1940😅😅😅 Kwa ambao hamuujui "UNGO" hebu tazameni hapa Hili dege wanaweza kupanda hadi...
0 Reactions
4 Replies
591 Views
Je Unaikumbuka Jamboforum? Leo Kwenye Kufukunyua Makabuli kwenye Picha Zangu Nimekumbana na Picha Ya Mojawapo Ya Kurasa za JamboForum enzi Hizo Ambayo Kwa sasa ni Jamiiforum.. Ama Kweli Tumetoka...
46 Reactions
355 Replies
10K Views
Nipo nchi za watu, Leo kila nikijaribu kuomba outing na watoto wa kizungu zinagonga mwamba!..what a bad day😩 kuishi mbali na home ni shida sana.
10 Reactions
77 Replies
3K Views
Wakati TBC Iko live kuna MWANAMAMA ANAREKODI video Hana utulivu kabisa wenzake wote wametulia yeye anajiselfie hao ndio watu wa ccm wasioogopa hata itifaki ya Taifa.
1 Reactions
2 Replies
348 Views
.
22 Reactions
948 Replies
34K Views
Kwa jamii nyingi kijana akishapata umri basi anaonekana ameshakuwa mkubwa na hastahili tena kuwepo hapo kwako mzazi na mara ingine kama ataendelea kuwepo, basi atakereshwa almradi aondoke akaanze...
12 Reactions
77 Replies
3K Views
Kuna migahawa siku hizi wanauza chapati kubwa sana, zile chapati mbili au tatu za zamani au mtaani wameziunganisha wakafanya kama chapati moja, sasa usipojua mapema ukaagiza chapati mbili linakuja...
18 Reactions
61 Replies
2K Views
Asubui NJEMA , Mzee ...ngoja tupambane .
2 Reactions
4 Replies
286 Views
Ilikuaje ukajenga ?? Kipato cha kudunduliza Tupeni mbinu Ulifafanyeje ?.
9 Reactions
134 Replies
5K Views
Tunapambana lakini tunaishia kupata pesa za kodi na kula tu. Wanangu tatizo litakuwa nini hasa ??
11 Reactions
44 Replies
2K Views
Kupenda, kuponda, hata kuchukia ni haki za mtu. Je ni members wapi unawakened au kuwaponda hapa jf na kwanini?
8 Reactions
92 Replies
4K Views
Wakuu, naomba kuuliza swali lipo hapo juu. Walimu mmeshaanza likizo au bado mpo shule mnafundisha? Naomba kujibiwa na Walimu wote waliopo humu JF. Km mpo likizo semeni kuna jambo jingine nataka...
1 Reactions
0 Replies
185 Views
Wakuu habari...naomba msaada nielekezeni jinsi ya ku Post thread kwa picha au video pia jinsi ya ku save picha kwa account yangu Naomba KUELEKEZWA si kwa ubaya 🙏🏾
0 Reactions
2 Replies
316 Views
Habari mabibi na mabwana, bila shaka ni wazima, na mida hii kila mmoja wetu yupo kwenye mihangaiko yake ya kujitafutia mkate wa kila siku. Nisiwachoshe sana twendeni kwenye dhumuni la habari hii...
10 Reactions
50 Replies
9K Views
Wakuu mimi ni mchunguzi sana. Nimefanya utafiti na kumfatilia kwenye mwandiko wake na vile anavyocomment kwenye post za wanajf mbalimbali hapa jukwaani na nikapata uthibitisho pasi na shaka kwamba...
9 Reactions
39 Replies
1K Views
Mimi binafsi kipindi cha vifo Radio one kama sikosei, zamani ilikuwa ni kipindi kizuri kutokana na upatikanaji wa taarifa kuwa hafifu ila kwa sasa mhhhhhh, vipi wadau wengine?
1 Reactions
5 Replies
306 Views
Back
Top Bottom