JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mimi binafsi nikipita kariakoo kwenye yale spika zao nikisikia hii misemo minne huwa nacheka sana. 1.Boss kalewa 2.Boss kasahau bei. 3.Boss kavurugwa 4.Boss kapandwa na kichaa
1 Reactions
10 Replies
636 Views
Je una swali? Je una changamoto yoyote? Je kuna ufafanuzi unahitaji? Karibu hapa wakongwe wakuhudumie.. Si kila kitu tuwasumbue moderators mengine tunaweza kusaidiana hapa hapa
12 Reactions
71 Replies
2K Views
Mzuka wana Jamvi ? Yerereeeeeerreereerreereyere ree!!! Zimepita couple nyingi Jf Real na Fakes , Serious and for Jokes , Za Siri na za Wazi ila mpka sasa sijaona ya kufika kati ya Maghayo The...
16 Reactions
62 Replies
2K Views
Asalaam aleykum waungwana wote, Najiandaa kwenda masjid, tangu nimeamka nimefungulia surat al Kahf, nyumba nzima nimefukiza udi, nguo zangu nimezifukiza udi pia, nikimaliza kuandika na kupost...
22 Reactions
192 Replies
5K Views
Sio kawaida kwa lundo la nyuki kutua kwenye biashara ya mtu kama hivi au ndo wakutumwa ili tutishane wazee
9 Reactions
46 Replies
1K Views
Katika vitu sipendi katika mwili ni mvvvz, hivi huwa yana kazi gani? Yani yaliwekwa kwaajili gani? Any scientific or moral explanation??? Yani ikifika muda wa kuyanyoa ndo kabiiisaaa naboreka...
37 Reactions
304 Replies
9K Views
Ni humu tuu, Mwendo ni huu
1 Reactions
1 Replies
206 Views
Habari ya mchana watu wangu wa nguvu kabisa mnaendeleaje na afya zenu jamani..mmeshapata lunch jamni maana ndo muda wenyewe huu Siku zilizopita tulizungumzia vitu ambacho hatuvipendi katika...
11 Reactions
201 Replies
10K Views
Wakuu nimekaa hapa nikakumbuka kuna kipindi tulishwahi kutumia chaja ya kobe. Na wenye nazo walikuwa wanaringa vile vile kama wanavyoringa wamiliki wa type C leo hii😂 Kwanini iliitwa chaja ya...
1 Reactions
52 Replies
1K Views
Na hii airtime wanayopata Mara nyingi sio katika kusheheresha shughuli zao bali kudharalilisha uanaume. Ila siwezi walaumu hawa wadada maana ni watu wa mihemuko na pia hawa vijana hajalazimishwa...
4 Reactions
26 Replies
985 Views
Kwa kifupi tu kibongobongo ukisema unywe hizi pombe, unaonekana ni mtu ambae ushakata ringi, unasubiri kujifia tu. 1. Balimi 2. Visungura 3. Double kick 4. Gongo 5. Plisner 6. Eagle 7. Komoni 8...
8 Reactions
57 Replies
2K Views
Anatufaa. Uzi tayari.
1 Reactions
8 Replies
535 Views
Habari wakuu, Week hii ninajambo langu zito sana nafikiri baadhi ya watu wanalielewa vizuri. Kwahiyo tukae attention Weka kambi hapa
5 Reactions
18 Replies
594 Views
wamenishangaza, sikutegemea, nilijua content zao ni za SOFT life na udaku pekee, wamenifurahisha. Kumbe vijana mnapenda HAKI, kumbe vijana unapenda DEMOKRASIA, basi mmetisha. Hakuna ubaya kuwa...
4 Reactions
17 Replies
968 Views
Aisee huu mji ni una warembo vibaya mno. Nipo hapa stendi ndogo jirani na Kimahama yaani shingo inataka kukatika sijui ni wa mkoa gani hawa mabinti wa Tanzania, warefu weupe/maji ya kunde ngozi...
20 Reactions
248 Replies
7K Views
Eti wakuu kwanini watu wafupi huwa wanakua na sauti ndogo Mfano Yericko Nyerere Steve Nyerere
1 Reactions
9 Replies
556 Views
Wanandugu, Mimi huwa naenda pale Uchumi siku za weekend kununua mahitaji kadha wa kadha. Lakini kuna katabia pale ambacho huwa kinanikera sana. Mara nyingi wale cashier wao hawana chenji ndogo...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu hali siyo poa, hali siyo safi, hali si nzuri kabisa, katika halakati za kufukuza shilingi leo najihisi kuumwa umwa kabisa. Dar es salaam mateso tupu kwa kweli, mwakani mkisikia nipo kwa...
2 Reactions
0 Replies
148 Views
Wakuu kwema. Mi sio mdau sana wa kilevi. Ila kutokana na matatizo, upweke na stress zilizoniandama hivi karibuni nimeona hakuna jinsi. Nilianza na St. Ann, Dompo ila izo uwa nagusa tu kidogo...
4 Reactions
25 Replies
4K Views
Back
Top Bottom