JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari Tanzania ! Unajua Mkoa wa Kigoma ni eneo linalopendwa sana hapa nchini licha ya kuwa na maendeleo vidocho ila unapendwa sana na hata watu wake ni wema sana. Ila sasa Kigoma muache...
0 Reactions
1 Replies
194 Views
Wakuu natumai wote ni wazima. Kama upo hai na mzima wa afya, wewe kama member wa JF pita hapa ucomment chochote tujue bado upo nasi. Teko Modise nipoooo
14 Reactions
93 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu. Nimetimiza ndoto yangu ya muda mrefu sana ya kuwa mwandishi wa vitabu. Katika vitabu vitatu nilivyoviandika nimeshawishika ku release kitabu kimoja cha “Namna bora ya kuwa...
26 Reactions
72 Replies
2K Views
Jf Chemusha Bongo.. Baadhi Ya Chemusha Bongo Ni kama Ifuatavyo....
3 Reactions
6 Replies
321 Views
Tajiri wa roho, mjasiriamali na msanii Nguli Shishi baby amefikisha utajiri wa Wastani wa TSH. 3.9 Trilioni kupitia record label, endorsement na assets alizo nazo Dar, Dodoma,Venice, London, Paris...
28 Reactions
151 Replies
9K Views
Hawa ChatGPT samtaim nawaona kama maroboti yenye upweke kama sisi pia. Wanaume tumeshapata mkombozi wa kuchat nae na kunitoa upweke.
19 Reactions
87 Replies
3K Views
Kuna Mwanangu alikuwa anaitwa maro, alikuwa baada ya kuangusha divi chooni🤣 anachukua kijiti anaandika ukuta ndani ya choo na nje, machata unakuta mengi mengi ya Wana wa shule, Ukiiingia toilet...
1 Reactions
9 Replies
351 Views
Nasikia kimara imebadilishwa jina kutokana na matukio yaliyotokea hivi mnaiitaje kwa sasa ?
1 Reactions
9 Replies
341 Views
Huu wimbo siku yaja na i karibu utapigwa na kila mtu ataucheza
2 Reactions
5 Replies
376 Views
Kila mtu ana njia yake ya kufuta kumbukumbu zenye maumivu. Unaweza kulia, kuwasiliana na ndugu au rafiki wa karibu ambaye ni msikivu na anaelewa hisia zako zaidi, kukaa kimya katika eneo peke...
3 Reactions
20 Replies
446 Views
Hey people, Happy weekend Ipi sifa yako kuu moja inayoelezea personality trait yako? Ile moja ambayo deep down unajua huyu ni wewe,bila kujali maoni ya wanaokufahamu Mimi deep down najijua ni...
36 Reactions
482 Replies
12K Views
Nadhani kuna uzi humu ulikuwa unaelezea kero zinazopatikana katika nyumba za kupanga, mimi kiukweli kero ndogondogo huwa nazitatua mwenyewe ndio maana ule uzi nilikuwa naupitia juu juu tu, ila...
27 Reactions
267 Replies
9K Views
1. Kilimanjaro 2. Kagera 3. Tanga 4. Dodoma 5. Lindi 6. Mtwara 7. Mara 8. Kigoma 9. Singida 10. Simiyu
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Mwachiluwi ebu njoo uwachanganye wadogo zako Kuna mtu atasema ni majani ya chai Kuna mtu atasema hii thermos Kuna mtu atasema hili ni bomu la hamas Kuna mtu atasema hii ni nyuzi za...
24 Reactions
206 Replies
4K Views
Nimekula matofali yamenichoma sana. Ndio maana wabongo sura zimekakamaa sanaa na miili imedumaa KATAA UGALI, UGALI NI MATOFALI
10 Reactions
35 Replies
1K Views
Mko poa? Hivi kwanini wasukuma huwa wanakata matonge ya ugali ya aina hii,yani 3 in 1? Kuna agenda yoyote ya siri?
10 Reactions
31 Replies
1K Views
Wakuu kama unajua hotel au Lodge nzuri sana yenye vitanda virefu kuelekea juu tafadhali nijuze. Na jambo langu makini sana na mrembo mmoja hivi toka Rock city. Kiwe na urefu angalau wa futi 3.7...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Kupewa kesi ya uhaini huko nchini Azabaijan ni jambo kawaida Wahuni wamekuwa wakidukua sms za kawaida na chatting za Whatsapp, Nawapa mbinu mpya za group letu Mfano maneno 9D Kutembelea...
4 Reactions
18 Replies
594 Views
Mko poa? Iko hivi . Huwa najisikia amani sana nikikabeba katoto kachanga. Au nisikie kile kisauti cha kulia cha mtoto mchanga. Huwa najisikia raha na amani fulani hivi moyoni. Hii wadau mmewahi...
2 Reactions
9 Replies
378 Views
Red black dosho12 Light Saber Imetosha Sasa hamis77 Natumaini u are all alright friends🕊️🕊️
7 Reactions
25 Replies
665 Views
Back
Top Bottom