Mzuka Wana Jamvi ?
Yererereyerere!!! Yere yere ?
Bado ya Kipenzi chetu Maghayo kupotezwa Jf bila huruma sisi wafuasi wake tumekaa Kikao na kuamua turudi kumuenzi mkuu wetu humu Jf.
Kuanzia...
Alfajiri ya leo kiongozi msaidizi wa kikundi cha Redcross 26 amekamatwa akiwa mafichoni katika Ranchi bubu binafsi iliyopo Kongwa. Baada ya upekenyuzi wa hali ya juu ulioendeshwa na wabobevu...
Tayari nimeshaharibu kwa dada yenu.
Mhehe.
Sasa mimi na nyie dugu tayari.
Hii ni baada ya wamatengo wa songea na waluguru wa Morogoro.
Naam, zaeni mkaongezeke.
Let's have fun and do it English.
English is somehow interesting and its known as the language of instructions,elites and the business language also.
Just speak out,Joke In English and touch the...
Nimekaa nikawaza kuwa Serikali inaweza kabisa ikapiga ban pombe toka nje ya nchi na kuweka mkazo kwenye local brew zetu huenda na sisi tungeuza nje.
Tatizo tunadharau vya kwetu, haya mawine na...
Habari za wakati huu wana jukwaa, swali langu ni hilo hapo juu nimehudhuria sherehe kadhaa utakuta mtu amepakuliwa chakula kidogo amekula na hajashiba linapotolewa tangazo la wanaohitaji kurudia...
Hizi ndoto zinasumbua sana sana,
Huwa naota nakula masive food,iwe stew,nyamachoma,wali ugali.pilau etc
Na kunakuwepo chakula kingi sana
Na watu wote nawaona tunajuana kabisa
hata jana nimeota...
Simu yangu inaita ilikuwa saa saba mchana wa leo,kwa kuwa nilikuwa kwenye kikao kazi kuhusu uchaguzi sikupokea simu,niliacha iite coz ilikuwa namba ngeni Baada ya kuita mara kadhaa sms ikaingia...
Vita vya paka mweusi na jogoo mweusi vinapata watazamaji chini ya milioni moja, pambano la paka mweusi na jogoo mweupe hupaa hadi watazamaji milioni tano. Hata hivyo, pambano la paka mweupe na...
Leo kwenye pitapita zangu za kufukuzia shiling mjini, nikakutana na jamaa yangu mmoja wa kitambo hivi, Akawa amenipatia dili la maana na kushitua moyo kidogo.
Hivyo raha kunizidi moyoni...
Hii kitu hakiwezekani kabisa mimi nakudai billions of money ila unanishikia Bastola eti kisa wewe ni deep state hii kitu hajiwezekani na bila shaka ya muhusika upo humu na unaisoma hii thread kile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.