JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Changamoto kama hii ina uwezekano mkubwa sana kutokea na ikawa ya siku nzima hadi wiki kama ilivyokuwa Mo29. Tushauriana vitu vya kudownload na machimbo yake.
3 Reactions
2 Replies
199 Views
Wakizma mtandao simu zita kuwa kam tochi tu umejipangaje andaa magem yako lakini pia story story ninazo sema utaka ipi ya kichawi kijsusi au chombezo nakutumia pm utajua wewe pakwenda kusav ili...
6 Reactions
20 Replies
474 Views
Mzuka wana Jamvi ? Miezi kadhaa ilikuwa ukichungulia Jf na mitandao mingine Keyboard warriors kusema wameupiga mwingi sana kwa upande wa Kushambulia kupitia keyboard hatuwadai wameuwasha moto...
6 Reactions
29 Replies
867 Views
Mwandishi wa habari wa Kenya, Alvin Kaunda, alikuwa akiripoti kuhusu ukame na uhifadhi wa wanyamapori katika Sheldrick Wildlife Trust jijini Nairobi, wakati tembo mdogo alipoiba shoo. Akiwa katika...
0 Reactions
3 Replies
211 Views
1. Kuna mtu ananunua simu ya gharama ili wamuone na siyo kuwasiliana. 2. Kuna mtu anatembelea gari la kifahari ili wamuone na siyo kurahisisha usafiri. 3. Kuna mtu anajenga nyumba ya fahari...
2 Reactions
3 Replies
223 Views
Naombeni msaada Kuna margari ya kutoka mbezi mwisho mpaka mbagara Moja Kwa moja na nauli yake Bei Gani wakuu
1 Reactions
24 Replies
864 Views
Mtu wa kawaida: Picha (hapo chini) ikionyesha watalii wakiondoka Tanzania kwa kile kinachotajwa kuhofia usalama wao kuelekea D9. Ukiwa CCM na chawa kama CV no 2: Picha hapo chini ni Mamia ya...
4 Reactions
7 Replies
489 Views
  • Poll Poll
Mimi Kama raisi wa ma jobless pro max, nime ona niitishe kikao cha dharura. Lengo la kuitisha kikao ni kujua idadi ya ma jobles tusio na magari, humu jf maana kila uzi ninao tembelea idadi kubwa...
36 Reactions
293 Replies
7K Views
Watu wa nyota ya Gemini au Mapacha kwa kimatumbi ni waliozaliwa kati ya Mei 20 ........Juni 21. Watu wa nyota ya mapacha huwa na tabia na sifa zinazo fanana, baadhi ya...
2 Reactions
16 Replies
14K Views
Hii ni timu au kikosi cha hovyo!
2 Reactions
6 Replies
215 Views
Habari Wakuu! Hii wengi walitaka itokee, kipekee imetokea. Wakati Wengine wakimuita Miss pokea Simu Mimi namuita Angeline Jolie wa JF. Star àmbaye Bongo movie imekosa Vionjo vingi vya...
18 Reactions
202 Replies
6K Views
Wakuu, Iwe kuhusu vita migogoro, Visa katika utafutaji Najua kuna nyuzi humu zingine sijawai ziona
5 Reactions
32 Replies
1K Views
Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF. Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana...
42 Reactions
238 Replies
5K Views
As the man of the house, what’s your next move?
0 Reactions
0 Replies
135 Views
Jamani, watumiaji wa Internet, naombeni mnijuze kampuni inayojitahidi. Airtel na modem zao sasa ni kichefuchefu. Hela unalipa, lakini huduma yao mbovu. Customer care yao, wana majibu ya ovyo...
4 Reactions
10 Replies
304 Views
Nimemuona mtangazaji mmoja anasema “ni bora kufagia sakafu za mbinguni kuliko kusimamia korido za kuzimu” ikiwa ni ujumbe maalum kwa vijana na wote wanaotaka kuiona Tanzania mpya. Tubadilishane...
17 Reactions
186 Replies
2K Views
Guys msifanye mchezo guys. Mimi ni mtoto wa maskini guys. Nimechunga ng'ombe guys.
6 Reactions
15 Replies
464 Views
Watu wanaweza zan nazingua lakin kifupi nimechanganyikiwa sidhan kama n kweli maana hamna ninae mdai sifanyi kazi na sina mtu wa kuniwekea hii hela kama kweli ndio yenyewe Iko ivi nilikopa laki...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Jf, kuna watu wametu-inspire, mambo mengi bila hata wao kujua. Kupitia mada hii wataje/mtaje member, aloku-inspire ktk jambo fulani. LIST YANGU: 1. WALONI-INSPIRE KTK SANAA YA UANDISHI Robert...
27 Reactions
214 Replies
6K Views
Back
Top Bottom