JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
"Forgetting is good for the brain: deleting unnecessary information helps the nervous system retain its plasticity."
6 Reactions
5 Replies
712 Views
Mtu asiruhusiwe kuvuka zebra au mataa bila kuwa na leseni ya udereva ya walau class P (pedestrian), atakayekiuka apigwe faini/ notification ya 30,000/= kama magari, asipolipa ndani ya siku saba...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna mchizi flani alikuwepo humu JF mwaka juzi(2021) alikuwa ananifurahisha sana aisee. Kwa siku alikuwa anaweza kuanzisha thread hata tano, alaf zote za zinachekesha. Sasa kuna siku moja bhana...
7 Reactions
15 Replies
1K Views
1. Ukiwa unaondoka ugenini wakakwambia mbona haraka, usiondoke kesho usubiri kesho kutwa n.k huo ni mtego. Ondoka, hapo wanajikosha tu. 2. Unaaga kwenda kazini, mpenzi wako anasema usiende...
16 Reactions
86 Replies
4K Views
Labda hili joto linatuandaa kwa mvua kali siku za usoni. Mungu wa mbinguni tupe wepesi. 😀
4 Reactions
9 Replies
848 Views
Tunatowa mafuzo ya helimu kwa wasoyo jui kuzoma na kuhandika hada zetu ni nafuhu Azande zana.
5 Reactions
23 Replies
2K Views
Wenyeji nipeni location ya kiwanja cha gharama nafuu Kwa hizi siku tano nitakazokuwa hapa jijini
1 Reactions
32 Replies
2K Views
Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache, Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja. Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa...
39 Reactions
181 Replies
6K Views
Karibu kila siku 'mywangu' tukiwa kitandani unilalamikia ....."we tu, endelea kuchat na sim... minikisha lala sitaki usumbufu"
1 Reactions
2 Replies
504 Views
Ulifikiria nini kutumia avatar unayoitumia? Kipi kilikuvutia? Uliwaza nini? Uzi tayari...
6 Reactions
39 Replies
2K Views
Nimetafuta hela juani, siku nyingine vumbini, mara nyingine ni kwenye mvua au porini nalala na fisi. Sasa nakuja mjini kuchukua hela mara moja, kwa nini nisiingie saloon spa kufanya scrub...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Bado tunafanya Mawasiliano ya hapa na pale kujua namna ya kuratibu zoezi zima Wadau mtafahamishwa Mlale Unono 😃😃
0 Reactions
1 Replies
275 Views
Ukiniletea picha ya Kunguru wanaojaamiana (Mating Ravens) nainunua kwa Tshs.3ml. Kuna sehemu naipeleka ughaibuni. Vigezo na Masharti:- Inatakiwa picha uliyopiga mwenyewe isiyo na copyright ya...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Kwanini watu wa Dar, huwa hawataki kujua yanayoendelea mikoani? Lakini wa mikoani kila wakati wanafatilia ya Dar tu. Maadimin wa JF Wapo Dar, ITV, Wasafi, TBC n.k zipo Dar Melo yupo Dar, Vyuo...
2 Reactions
25 Replies
1K Views
Nimekua najiuliza mara nyingi Kwanini ushauri wa wat weng wenye hela ni mzuri tofuat na wasio na hela,,,hii imekaaje wadawu
3 Reactions
3 Replies
869 Views
Jioni ya leo ntakuwa kwenye moja ya meza pale nikizungukwa na watoto wazuri tukila maisha. Wale chawa wangu mnakaribishwa ila sitajitambulisha, nyie angalieni tu sura za ki boss hazifichiki...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Askari wa Barabarani ( Traffic Police ) Mmoja huko nchini Kenya amejikuta akiibiwa Simu kwa 'Kuchomolewa' na Kibaka wakati akiwa anaongoza Magari. Nimewaonya...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Huu Wimbo ni maarufu siku hzi hasa hasa mtaani umeme ukikatika. Anyway nko hapa Bar tunaimba na kufurahi baada ya umeme kukata. CCM mbele kwa mbele wataisoma namba weee.!!!
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom