FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Mtu asiruhusiwe kuvuka zebra au mataa bila kuwa na leseni ya udereva ya walau class P (pedestrian), atakayekiuka apigwe faini/ notification ya 30,000/= kama magari, asipolipa ndani ya siku saba apigwe penalty ya 25% kama gari, na zifungwe kamera za 'facial recognition' kwenye mataa ili kuwabaini watakao kwepa kulipa kama ilivyo kwa kamera za kukamata magari. Yaani unakuta mijitu inavuka kama nyumbu mtoni hovyo hovyo na kuhatarisha usalama wa waendesha vyombo vya moto vya usafiri, wengine wanakatiza hovyo kwenye bustani za barabarani kama vichaa. Nao wapigwe faini kama magari, na waonyeshe vyeti vya udereva wa miguu kutoka vyuo vinavyotambulika kabla ya kupewa leseni. Sitakagi ujinga.