Nawakilisha
Ataepuka baadhi lakini bado kuna watu Watauruka tuu huo ukuta.ukuta mkuu.....utaepuka mengi..........
Ataepuka baadhi lakini bado kuna watu Watauruka tuu huo ukuta.
Aisee! kumbe nilidhani kuushika na kuuruka wote ni mule mule tuu.!!Heri ya warukao kuliko WASHIKISHWAO Ukuta huo! Akiruka walau anavuja: ashikishwaye ni laana hadi kwa tofali agusalo!
Here are my observations:
Ukuta:
-unakinga hewa/upepo
-ukivamiwa jirani hawezi kujua nn kinaendelea wala hawawezi kukusaidia
-faida kubwa ni privacy na security to a certain degree thou there's no 100 percent security hahaha
Wavu:
-nzuri ila inakua haina privacy labda kuongezea miti
Miti:
Nzuri kwa afya
Nahitaji uzio ila niko njia panda
Weka Ukuta na Juu Weka Umeme halafu Fuga Mbwa Wakali
Ataepuka baadhi lakini bado kuna watu Watauruka tuu huo ukuta.
Panda michongoma mkuu watu wa hewa ukaa watakulipa mapesa. Ukuta ni kwa waarabu
Weka Ukuta na Juu Weka Umeme halafu Fuga Mbwa Wakali