hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 853
- 2,037
Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.
Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.
Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.
Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?