Hivi mnaoshinda JF huwa mnakuwa mnafanya nini?

hermanthegreat

JF-Expert Member
Mar 2, 2021
853
2,037
Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.

Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.

Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.

Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
 
Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.

Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.

Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.

Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Sisi ni walinzi,hivyo tunakuwa tupo lindoni🏋🏋🏋
 
Kuna watu wanafanya kazi aidha madukani hawa muda wanao wakutosha,Kuna night shifts mara nyingi hawa pia hupata muda wakuchati... Wengine kazi zao mitandao so Kila muda data zipo on ni rahisi kuwa active jf.. mkuu na hili tukufundishe...?
 
Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.

Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.

Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.

Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Pole sana sisi wengine ni walinda maudhui ya mtandaoni 24/7 hautukosi humu ukiyakanyaga tuu tunakufata hadi hapo ulipo...(joking) usichukulie serious hii comment yangu.
 
Back
Top Bottom