MasterCard / Microsoft INTERNATIONAL MEGA JACKPOT
Bradford City Centre Branch
7 hustlergate bradford, West Yorkshire
MICROSOFT OFFICE, UNITED KINGDOM
DIRECTOR: Mr. Cassie L Patzer
Attn:Winner...
Jamaa alitakiwa kuwah kazini saa kumi alfajiri, sasa muda ulipofika akaamka lakn bahati mbaya umeme ulikuwa umekatika na alikuwa anataka aangalie mafuta kwenye tank la pikipiki yake, alichofanya...
Juzi kati nilikuwa natoka kazini sasa kwa bahati mbaya ka mkweche changu kakaharibika mitaa ya manzese big brother ilikuwa ni mida ya saa kumi na mbili sasa nikakapeleka kwa fundi pale shiughuli...
Heshima mbele wakuu!eti wajamen,hvi hawa dada zetu huwa wanazuzuka na nin pindi waingiapo vyuon,unakuta bint kaanzana na mchzi tangu wakiwa secondary bt suprisingly akiingia chuon anamtema mchzi...
Dah..nimegunduwa ki2 kimoja humu ndani watu awako real wapo fake sana!!mimi nimeamuwa kuweka info zangu full kbsa,sitaki kuwa fake coz JF nimevutiwa nayo napia naipenda mimi ni new member sina...
"nyinyi vaeni magwanda, sisi tunavaa majoho" - alisikika akisema mmoja wa wahitimu wa chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Nimejiuliza, nini kinaendelea? Mavazi, chuo, siasa, vyama n.k
Children Are Quick
____________________________________
TEACHER: Maria, go to the map and find North America .
MARIA: Here it is.
TEACHER: Correct. Now class, who discovered...
Wazee graduation yangu at ardhi university ni next saturday and since first year nilikuwa nimeipania sana! Then nimesaini a well-paying contract na kampuni flan ya mkoani,too far! Nilipowaambia...
Habari zenu mabibi na mabwana. Napenda kuwajulisha kuwa nimerudi likizo ingawa sikuwaaga.Likizo ina raha jamani, maana unapumzisha mwili, moyo, na akili. Si vibaya nikiwashauri wote muwe mnaenda...
Nakumbuka zamani tulikua tukiambiwa na waliokua wametuzidi umri, kwamba : Panapokua na mvua iambatanayo na Radi tusivae nguo nyekundu.
Kwamba : kwa wale wenye maduka ya walaji bidhaa rejareja...
wakuu habari za jumapili,leo baada ya kupigwa na joto nikaamua ngoja niende beach nikapunge upepo,huwezi amini nafika beach nikayaona madume mawili yamevaa G-string,hivi hawa wanaovaa hii kitu ni...
1. Kudowea chakula cha mtoto.
2. Kufungulia radio sauti ya juu.
3. Kugawa mafuta,unga,sukari.
4. Kuchelewesha kupika chakula.
5. Kuingiza vibwana ukiondoka.
6. Kupita na khanga moja mbele ya...
Everyone needs the occasional unscheduled day of leisure. Here is how to get yours without raising suspicions at work.
Complain about fake symptoms. A day before your day-off, make hints about...
Habarini,
Nimeona avatar ya mdau mmoja anaitwa Avoyne, nimeshindwa kipaste hapa. Anayeweza kuipaste anisaidie.
Kweli inanikwaza sana, kama nilivyosema dini ndio suluhisho la mwisho la binadamu...
JAMAA WATATU WAMETINGA LUPANGO NCHINI CAMEROON KWA AJILI YA SHUGHULi YA BWANA D. CAMEROON.
Three men in Cameroon have been sentenced to five years in prison for homosexual acts, which are...
Habari wana JF, leo ningependa kukumbushana maisha tuliyopitia katika kipindi ukiwa bachelor.... yaani zile experience za ubachelor unazozikumbuka ambazo ukiwa kwenye Ndoa hutarajii sana kukutana...