Well said mkuu,....nalog innao binadamu jamani,tusiwakashifu kwa kuwa tuko matawi ya juu. Nalog off
Sijapenda uliyoandika hapo maana unajaribu kuwafanya watu wanaowalelea watoto wenu waonekane wabaya wakati hata ndugu yako anaweza kufanya uliyotaja. . . yanachangiwa kwa kiasi kikubwa na tabia ya mtu na sio kazi yake. Ila umenikumbusha dada yetu mmoja aliyekua anatusaidia ye tulikuwaga hatumuoni akioga. . siku moja akaulizwa "dada hivi wewe hua unaoga saa ngapi?" akajibu "mimi baba. . . GHAFLA GHAFLA". Yani hua hapangi inatokea tu siku anaamua kuoga.
Nowdayz tunachama chetu cha kutetea haki zetu,ngoja uone cha moto kwa hii sledi yako!!1. Kudowea chakula cha mtoto.2. Kufungulia radio sauti ya juu.3. Kugawa mafuta,unga,sukari.4. Kuchelewesha kupika chakula.5. Kuingiza vibwana ukiondoka.6. Kupita na khanga moja mbele ya baba.7. Kutoa harufu ya majasho.8. ........9. ..........
kwa maneno mengine unakubaliana na mtoa sredi, kwenye kipengele namba 7, sio madam lizzy?
1. Kudowea chakula cha mtoto.
2. Kufungulia radio sauti ya juu.
3. Kugawa mafuta,unga,sukari.
4. Kuchelewesha kupika chakula.
5. Kuingiza vibwana ukiondoka.
6. Kupita na khanga moja mbele ya baba.
7. Kutoa harufu ya majasho.
8. ........
9. ..........
1. Kudowea chakula cha mtoto.
2. Kufungulia radio sauti ya juu.
3. Kugawa mafuta,unga,sukari.
4. Kuchelewesha kupika chakula.
5. Kuingiza vibwana ukiondoka.
6. Kupita na khanga moja mbele ya baba.
7. Kutoa harufu ya majasho.
8. ........
9. ..........
1. Kudowea chakula cha mtoto.
....Kutoa harufu ya majasho.
8. ........
9. ..........
..... wanajua kutake care ya watoto kuliko hata mama!
Hata mie sijapenda ulivyoandika kbs,1. Kudowea chakula cha mtoto.
2. Kufungulia radio sauti ya juu.
3. Kugawa mafuta,unga,sukari.
4. Kuchelewesha kupika chakula.
5. Kuingiza vibwana ukiondoka.
6. Kupita na khanga moja mbele ya baba.
7. Kutoa harufu ya majasho.
8. ........
9. ..........