JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu nimeshindwa kufanya muamala hapa maana huyu wakala ananichanganya hapa. Nimemwambia nataka nitoe pesa yeye ananiambia toa TU. Sasa mimi hiyo TU sina nina pesa nataka niitoe. Nimejaribu...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Huu utaratibu wachukue Chadema.
1 Reactions
2 Replies
462 Views
Jipime ufahamu wako kwa kujibu maswali kuhusu Tanzania ndani ya sekunde 60.
0 Reactions
1 Replies
456 Views
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂 Tunakusalimia kutokea mitaa Mwanayamala hospital, Mwembe Yanga na Tandika Devis Coner na Kigamboni darajani na Sinza Mugabe na Kinondoni studio DSM. Shikamoo brother....!!!!! Salamu...
10 Reactions
146 Replies
9K Views
Kwema wakuu kama mnavyojua bado nipo kwenye ziara yangu ya mikoa ya kusini mwa Tanzania. Baada ya Newala na Mtwara na Masasi, ninaelekea Nachingwea nikitokea Masasi. Naomba watu mnaoijua...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Ni kitu gani kinakumalizia pesa mara kwa mara lakini haukiachi kwasababu kinakupa furaha?
0 Reactions
18 Replies
950 Views
Natumai mko vyema ndani ya hili jukwa pendwa la Jamii Forums. Ngoja niende moja kwa moja kwenye shina la huu uzii. Chapter 1 Namibia. Toka mwaka uanze nilikua nimebanwa sana na majukumu ya...
2 Reactions
6 Replies
924 Views
Kulikuwa na mtu huyu, wakati wa kusoma chuo cha ufundi, alikua ni mtu ambaye tulikuwa darasa moja pindi tupo chuo, alikuwa ni mkimya sana na hajawahi kuchangia chochote wala kuzungumza na mtu...
14 Reactions
143 Replies
8K Views
A:Waponda dar 1. joto (umaskini & njaa) 2.kero ya usafiri (jam) 3.uchafu (miundombinu) 4.maadili mabovu(usasa) B:wapenda dar 1.michoro nje nje (madeal) 2.starehe,anasa na vibe(viwanja) 3.Totoz...
1 Reactions
5 Replies
654 Views
Wakuu kutokana na hali kuto kua hali hili shindano la kutumia hela kidogo Namaanisha hakutumia pesa kidogo as much as possible Haya twende kazi[emoji3][emoji3]
2 Reactions
11 Replies
558 Views
First off, mwaga chini kiduchu kuhakiki kama ipo vizuri yaani haijaeksipaya. Utaona povu. Piga lesi ndefu ukiwa umebana pumzi, rudisha chupa mezani. Sikilizia Dk 1 then rudia tena hadi ikate...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Kwakua ule mpamabno wa debate kati ya Kiranga na Mwita25..umeshindwa kufanyanyika sasa naona Kuna Mpambano mwingine unaendelea kati ya mafahali wawili huo si mwingine ni kati ya FaizaFoxy Vs...
3 Reactions
213 Replies
16K Views
kibibi kilikosea nyumba ya msiba kikaingia geto, washkaji wakakifanyia mchezo mbaya weee, kilipotoka kikauliza arobaini lini nije tena? wajukuuzangu?!!
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Naishauri Serikali sikivu ichukue Trillioni kumi au ishirini izitie kwenye MKEKA. YAANI tubet, tubet kuwa Zambia wataifunga Tanzania MAGOLI matatu na kuendelea. Baada ya Hapo tuwapigie simu...
2 Reactions
1 Replies
325 Views
Naanza na Mimi "Education, Discipline, Self-reliance"
7 Reactions
389 Replies
22K Views
Msukuma kavuta Jiko na hivi ndivyo ilivyokuwa siku ya Sherehe.
1 Reactions
10 Replies
744 Views
Msurprise mtu yeyote kwa jina lake na nyimbo ( dedication ) ajue hisia zako kwake. Anaweza kua mtoto wako, mpenzi wako, adui yako, crush wako na zaidi… Mtaje kwa tag, jina moja au mawili, sehemu...
5 Reactions
67 Replies
2K Views
Back
Top Bottom