JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mwanamume mmoja aitwaye Leavan Namayi Lubanga Mkazi wa Kaunti ya Homa Bay Nchini Kenya, ameshitakiwa Mahakamani baada ya kushindwa kulipia bili ya Hoteli moja ya kifahari Jijini Nairobi alimokaa...
0 Reactions
1 Replies
269 Views
Habari za Asubuhi wanaJF huu ni uzi wetu maalumu kwa wale hustlers ambao tunaingia kwnye mishemishe asubuhi na mapema(kuanzia saa 12- 3 asubuhi). Hapa tutakua tunatakiana kila la kheri na kuomba...
9 Reactions
50 Replies
2K Views
Mimi babu wa maraha nipo zangu nyumbani nimetulia kabisa huku nikiburudishwa na Aurlus Mabele, huku home theatre likiunguruma. Ukweli mchungu zamani kulikuwa na muziki haswa, sio kelele za siku...
10 Reactions
76 Replies
2K Views
Unakuta jitu limekuganda kwenye daladala kama ruba. Ukigeuza wowowo limo tu, ukisogea mbele linakuvamia huko huko. Unabambiwa mpaka wowowo linaumuka. Ukigeuka kumwangalia anageuza shingo...
14 Reactions
92 Replies
7K Views
African hellow Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu Unazani hapa Tanzania ni mkoa gani ungekuwa kifua mbele sana kupigania nchi na mkoa gani ungekuwa nyuma Mimi naona Dar es salaam...
0 Reactions
14 Replies
578 Views
Ili uweze kujifunza na kubadili mengi katika fikra na maisha yako kuna kitu cha muhimu sana unatakiwa kukijua, UNATAKIWA KUJUA KUWA HUJUI.
9 Reactions
19 Replies
826 Views
Wakuu heri ya mwaka mpya 2024 Nchi gani nzuri kuzitembelea kwa 2024? Ukiweza pia kuweka mchanganuo wa gharama za msingi kama usafiri, malazi itakuwa umesaidia wengi sana. Pia si vibaya kuweka...
3 Reactions
13 Replies
638 Views
Kwa kweli enzi hizo maisha yalikuwa bam bam.. unapewa maelekezo na wazazi kibabe sana.. wahenga mnakumbuka?
1 Reactions
0 Replies
393 Views
Yaani mimi kwenda usiku kumuangalia kama dada wa KAZI amejifunika vizuri ndio kitu kinakufanya mke wangu Agnes ukasirike kama hivyo🤔.... NB: Wadada wote wa JF naomba nione majibu yenu tofauti...
2 Reactions
10 Replies
446 Views
Nakumbuka enzi za advance(boarding) miaka hiyo kilikuja kipindi tukakibatiza jina kikaitwa PUMBU erosion Sijui ilikuwa shule yetu tu.. Tujaribu kukumbushia kipindi hiki milikipa jina gani...
3 Reactions
157 Replies
27K Views
Uzi maalum wa free stress, maswali ya kufikirika na majibu yake Yani ni kjiwe cha kahawa kilichochangamka ama ni kijiwe cha masela baada ya kuzunguka majukwaa ya siasa, intelligence, MMU na...
1 Reactions
40 Replies
1K Views
Katika kutimiza haja zangu za kirijali leo nimejikuta namtupia mistari binti mmoja maarufu humu ukumbini kwa mfumo wa PM. Sikupata adha ya kuporomoshewa mitusi Kama wadau wengine wanavyolalamikaga...
22 Reactions
115 Replies
8K Views
Habarini za Asubuhi Wapenzi wote wa JF, Natumaini mmeamka salama..........kwa Upande wangu mimi mzima. Naomba siku ya leo mimi Madame B pamoja na memberz wenzangu tuungane kusherehekea MWAKA...
33 Reactions
287 Replies
16K Views
. “Know life is just a game in which the cards are facing down. I’m in the world where things are taken, never given how long they choose to love you will never be your decision.”
1 Reactions
2 Replies
304 Views
Inasikitisha nakufurahisha ahahhahaa Tunapiga chenga Watoto wa mungu[emoji23][emoji23][emoji23] Dah Nlikuwa nataka niende Kanisani January hii ila wacha niende March. [emoji23] Sent from my...
2 Reactions
3 Replies
572 Views
Jf udaku baada ya uchunguzi wa kina imegundua kuwa hizi kapo: sosoliso na Paloma.....kapo feki hii Arushaone na Lady doctor.....hakuna cha ndoa wala nini,hata kwa sura hawajuani...
11 Reactions
187 Replies
11K Views
Mimi weekend yangu inaenda ivyo. Sina jambo kwa mchumba
6 Reactions
90 Replies
3K Views
Unahisi nazungumzia pombe or wanawake! No, duniani Kuna vitu vina addiction hujawahi ona. Mimi mfano kuna jamaa Zangu wana mabasi ukiwaambia kuhusu scania hawakwambia kitu. Unaijua kadhia ya...
20 Reactions
128 Replies
6K Views
Naanza mimi; ~ Neno "Sanamu la Michelin" sijalisikia kitambo. ~ Jarida la Tamasha, Bongo. ~ ChemiCola na black current. Katuni ya mapung'o
2 Reactions
90 Replies
13K Views
Back
Top Bottom