Master WAPEKEYE
Senior Member
- May 15, 2023
- 145
- 465
Naishauri Serikali sikivu ichukue Trillioni kumi au ishirini izitie kwenye MKEKA.
YAANI tubet, tubet kuwa Zambia wataifunga Tanzania MAGOLI matatu na kuendelea.
Baada ya Hapo tuwapigie simu wachezaji na kuwapa mpango huo na wao wafungwe MAGOLI sita au saba na Zambia -Tumkomeshe mhindi.
Angalizo; USHAURI huu ukichukuliwa mnigawiemo na mimi kidogo kama mleta wazo na mshauri wa mambo ya maana ya kuisaidia Nchi.
Nchi tupo watu wenye akili nyingi sana ni basi tu wanatudharau.
Master WAPEKEYE
YAANI tubet, tubet kuwa Zambia wataifunga Tanzania MAGOLI matatu na kuendelea.
Baada ya Hapo tuwapigie simu wachezaji na kuwapa mpango huo na wao wafungwe MAGOLI sita au saba na Zambia -Tumkomeshe mhindi.
Angalizo; USHAURI huu ukichukuliwa mnigawiemo na mimi kidogo kama mleta wazo na mshauri wa mambo ya maana ya kuisaidia Nchi.
Nchi tupo watu wenye akili nyingi sana ni basi tu wanatudharau.
Master WAPEKEYE