JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mimi nikikosa pesa Huwa najishangaa nakuwa mkali mkali sio kwa watoto hata kwa watu wengine wanao nizunguka huwa sielewi hii hali
1 Reactions
7 Replies
563 Views
  • Closed
Habari za jioni Wana JF, Nimegundua watumiaji wa iPhone asilimia kubwa Wana ushamba na ulimbukeni. Yani akiwa nayo atataka watu waione wajue kama ana iPhone, ulimbukeni wenyewe ni huu huwa...
66 Reactions
254 Replies
12K Views
Kupanga ni kuchagua. Uzi tayari
1 Reactions
15 Replies
819 Views
Habarini wapendwa, Niende moja kwa moja kwenye mada mimi niniaminishwa kuwa kusoma kwa bidii na kufaulu vizuri sana moja kwa moja unafanikiwa ila jamani yote nimeyafanya ila mafanikio sasa duh.
3 Reactions
19 Replies
1K Views
Mara yako ya kwanza kufanya mapenzi ulikua na miaka mingapu,ilikua ni wapi, ulimuanzaje na baadae ikawaje.
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Huyu ni Mwanaume kutoka Nigeria ambae amejibadilisha na kuwa na muonekano wa kike. Jina lake ni Daniel Anthony Nskan.
10 Reactions
230 Replies
15K Views
Kila nchi ya Afrika uwa ina vitu vyake fulani hivi ambavyo ukisimuliwa unajua moja kwa moja hii ni Nchi fulani... Mfano Ukizungumzia Somalia unazungumzia Pirates (Mabaharia wezi), kazi yao kuteka...
0 Reactions
17 Replies
997 Views
Kwako mpendwa, Vile uliniambia unakuja nyumbani, basi kamankawaida ya wanawake wa kiafrika ukarimu wa kwanza ni kukaribishwa chakula. Na raha ataipata mpishi pale utakapokula chakula chake hata...
7 Reactions
45 Replies
3K Views
Njiwa🐦 peleka salamuu kwa yule wangu muhibu 🥰 Umueleze, afahamu... yeah ndio wangu wa kuzikana...😇. Hali yangu hamuhamu, Mahaba yamenisibuu.. Mchana kutwa nachekaa (tabasamu), na yeye ndio...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Asubuhi na mapema baada ya kuamka, mtoto anamfuata mama yake kwa bashasha. Mtoto: Shkamoo mama Mama: marahaba hujambo Mtoto: sijambo mama. Mtoto: Mama kwani tumenunua gari? Mama: kwanini...
1 Reactions
6 Replies
656 Views
Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu, we bhana weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest. Yaani nimepitiliza kama ni temperature basi imekuwa 45 C. NB: Najua tutaachana🙄...
32 Reactions
386 Replies
15K Views
Mwalimu GENTAMYCINE: Lamomy Kwanini umechelewa kuja shule? Lamomy: Kwasababu ya maelekezo ya kibao barabarani. Mwalimu Genta: Maelekezo ya kibao yanahusianaje na uchelewaji? Lamomy: Kibao...
8 Reactions
16 Replies
997 Views
Kupendeza hasa unapotoka ni katika namna ya kuisherehekea, mim nitatokelezea kwa namna hii( T-shirt nyeupe, surual ya kadeti na raba nyeupe). Vip kwako, mtoko upi utatokelezea nao..?
1 Reactions
19 Replies
606 Views
● Anapekuapekua simu yake ● Amejichomeka visikiliza masikio (earphone) anasikiza mambo mengine ● Nayeye anaongea na mtu mwingine ● Anakuongelesha wakati hujamaliza kuongea (wewe unaongea na...
1 Reactions
4 Replies
394 Views
Ikitokea umefungwa, upo gerezani bafuni unaoga na wafungwa wenzako, bahati mbaya sabuni ikakudondoka, Achana nayo usiiokote. Utakuja kunishukuru baadae.
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Igweeeeeee Eid Mubarak kwenu nyote. Maaake kwanza ncheke. Umewahi kujikuta unajua au unaimba wimbo flani kila mara ukihisi ndo maneno/lyrics sahihi lakini siku unakuja kuziona lyrics zenyewe...
6 Reactions
16 Replies
768 Views
Mara nyingi binadamu tumekuwa na kawaida ya kusema, leo najisikia ovyo ovyo yaani sijui hata nifanye nini?. mbona huwa hatusemi Leo najisikia vizuri naweza kufanya lolote ama chochote
3 Reactions
5 Replies
499 Views
Wanajamvi habari za sikukuu ya Eid El Fitril, naomba kwa anayefahamu bei rafiki kwa guests house za Shinyanga maeneo ya Iselamagazi.
1 Reactions
3 Replies
576 Views
Kuna Lori la mafuta limeziba njia tuna saa mbili sasa na hakuna dalili za kuliondoa.
8 Reactions
46 Replies
2K Views
Inakuaje bangi inawekwa kundi la madawa ya kulevya? Mbona Kuna Wana wanavuta sana ganja lakini wapo poa sana na wanafanya kazi zao vizuri tuu. Kitu kama shisha ndio naskia ina madhara mengi...
5 Reactions
62 Replies
4K Views
Back
Top Bottom