Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,225
- 36,239
Njiwa🐦 peleka salamuu kwa yule wangu muhibu 🥰
Umueleze, afahamu... yeah ndio wangu wa kuzikana...😇.
Hali yangu hamuhamu, Mahaba yamenisibuu..
Mchana kutwa nachekaa (tabasamu), na yeye ndio sababu. Na jioni ikifika, kumbato lake nahitaji.. 🤗
Pendo langu kwake halichuji, ndilo laniongezea Mahaba juu yake...
Njiwa usihadaike, nenda ulete majibu,
Nenda upesi ufike, mkimbilie (Too).
Mbele yake utamke, ni yeye pekee wa kunitibu.
Ukifika tafadhali sema naye taratibu.
Ukisema kwa ukali, mambo utayaharibu...
Kamwambie sina mwingine, penzi letu lizidi kushamiri.
Ewe njiwa, peleka salamu kwa wangu Muhibu Too 🥰.
Love you so much Too.
Kasinde.
Umueleze, afahamu... yeah ndio wangu wa kuzikana...😇.
Hali yangu hamuhamu, Mahaba yamenisibuu..
Mchana kutwa nachekaa (tabasamu), na yeye ndio sababu. Na jioni ikifika, kumbato lake nahitaji.. 🤗
Pendo langu kwake halichuji, ndilo laniongezea Mahaba juu yake...
Njiwa usihadaike, nenda ulete majibu,
Nenda upesi ufike, mkimbilie (Too).
Mbele yake utamke, ni yeye pekee wa kunitibu.
Ukifika tafadhali sema naye taratibu.
Ukisema kwa ukali, mambo utayaharibu...
Kamwambie sina mwingine, penzi letu lizidi kushamiri.
Ewe njiwa, peleka salamu kwa wangu Muhibu Too 🥰.
Love you so much Too.
Kasinde.