JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
_________________________________ Pesa ya kuokota : Ni pesa ambayo haukulazimika kuifanyia kazi! Hapa kuna maeneo mazuri ya kutembelea ili upate hiyo bahati. 1. Tembelea Sehemu za Uoshaji...
6 Reactions
14 Replies
3K Views
mungu Pombe mungu Uke mungu Nyama (BBQ). Pascal Mayalla, MBITIYAZA, Nyani Ngabu, walwa, nyoo Na nyama. _____&&&_______________________________ 1; mungu Pombe (walwa) anatumika kwenye kutambika...
11 Reactions
90 Replies
10K Views
Nilipokuwa shuleni, sikuzote niliketi karibu na dirisha na kutazama jiko la kantini! Siku moja Mwanamke anayepaswa kuandaa chakula siku hiyo kaweka chumvi kisha akatoka na kwenda zake, baada ya...
8 Reactions
15 Replies
788 Views
Sikumoja punda alikutana na punda jike, pembeni kulikuwa na nyumba ya mkulima yenye jogoo na ng'ombe. Baada ya punda dume kumwona punda jike basi akachomoa mkuyenge wake, jogoo alipoona mkuyenge...
6 Reactions
41 Replies
3K Views
Utafiti wangu ulochukua miaka mingi hadi sasa umekuja na mkataa wa kudumu wa maneno ya hizi bajaji. Unaweza hisi inasema sijui nini " Gochionale kikachukattchu ka" 🤨🤨 Mwingine naye atasikia...
2 Reactions
7 Replies
658 Views
Mimi nilikuwa na kilo 56, ni kama wiki tatu zimepita sasa. Wewe je ulikuwa na ngapi?
26 Reactions
280 Replies
11K Views
Good evening!! Baada ya interview nzuri Na miss natafuta,tunapenda kuwajulisha kuwa,mnamo saa kumi Na mbili jioni tutakuwa nae bibie Faiza foxy . Ili kupata viovyo tofauti tofauti tunaomba...
10 Reactions
815 Replies
70K Views
Wakuu, Kuna vimesemo na vijimaneno huwa vinazuka na kubamba na kisha kupotea baada ya muda. Unakumbuka msemo gani uliobamba sana na kusepa na kijiji? Tupia hapa na watoto 2000 wapate vya...
3 Reactions
14 Replies
948 Views
Mathalani, za kwenywe kidevu zinaitwa ndevu, chini ya pua kwenye lip ya juu ya mdomo zinaitwa sharubu, za machoni zinaitwa kope, za juu ya macho zinaitwa nyusi, za kifuani zinaitwa love garden, za...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Mwanaume amesimama nyuma yako anakuelekezea mtalimbo Ingawa hali hii huwapata sana Watoto wa 17-30 years
24 Reactions
352 Replies
48K Views
Binadamu tumeumbwa na hisia, ata tukijiweka bize sana katika utafutaji; mwisho wa siku tutaishia kwenye hisia tu. Inawezekana kuna sababu nyingi zinaotufanya tusiwe na wenza; ila mwisho wa siku...
5 Reactions
130 Replies
4K Views
Hilo nimeliona siku za karibuni. Hivi sasa wife kasafiri siku ya tatu leo na kaniacha na mtoto miaka miwili, dada ndo anashughulika nae kwa kila kitu. Kwa kweli wapewe maua yao. Najiepusha sana...
4 Reactions
17 Replies
935 Views
Habari wanajamvi? Tukiwa tumebakiza siku takribani 15 kupindua mwaka, kuongeza thamani ya upendo miongoni mwa member JF. Taja memba yoyote unayempenda mpe na sifa yake na cheo Mimi naanza hapa👇...
17 Reactions
147 Replies
6K Views
Naam wana JF, katika maisha yetu ya kila siku huwa tunakumbana na mengi sana ambayo yanaweza kukufanya umpende au kumchukia mtu flani kwa sababu amekutendea hiki au kile na wakati mwingine hutokea...
6 Reactions
122 Replies
7K Views
Miaka mitano hadi Saba iliyopita kulikuwa kuna "interviews" za wanachama maarufu hapa JF. Ambapo wanachama wangemuuliza maswali "host" Maswali mbalimbali kumhusu na "Host" anajibu vizuri tuu...
10 Reactions
79 Replies
2K Views
Mimi nikikosa pesa Huwa najishangaa nakuwa mkali mkali sio kwa watoto hata kwa watu wengine wanao nizunguka huwa sielewi hii hali
1 Reactions
7 Replies
563 Views
  • Closed
Habari za jioni Wana JF, Nimegundua watumiaji wa iPhone asilimia kubwa Wana ushamba na ulimbukeni. Yani akiwa nayo atataka watu waione wajue kama ana iPhone, ulimbukeni wenyewe ni huu huwa...
66 Reactions
254 Replies
12K Views
Kupanga ni kuchagua. Uzi tayari
1 Reactions
15 Replies
819 Views
Back
Top Bottom