kevin strootman
JF-Expert Member
- Nov 26, 2017
- 1,069
- 1,716
Inakuaje bangi inawekwa kundi la madawa ya kulevya?
Mbona Kuna Wana wanavuta sana ganja lakini wapo poa sana na wanafanya kazi zao vizuri tuu.
Kitu kama shisha ndio naskia ina madhara mengi sana, yupo jamaa mmoja aliniambia bangi ni dawa .
Je inamadhara Gani??
Natamani nianze kuvuta bangi ila sijui nazipata vipi nikipata mtu WA kuniuzia itakua poa sana nipo Toangoma hapa
Mbona Kuna Wana wanavuta sana ganja lakini wapo poa sana na wanafanya kazi zao vizuri tuu.
Kitu kama shisha ndio naskia ina madhara mengi sana, yupo jamaa mmoja aliniambia bangi ni dawa .
Je inamadhara Gani??
Natamani nianze kuvuta bangi ila sijui nazipata vipi nikipata mtu WA kuniuzia itakua poa sana nipo Toangoma hapa