Enzi za utoto uliaminishwa jambo gani la uongo?

kataza

Member
Sep 5, 2014
20
50
Habarini wapendwa,

Niende moja kwa moja kwenye mada mimi niniaminishwa kuwa kusoma kwa bidii na kufaulu vizuri sana moja kwa moja unafanikiwa ila jamani yote nimeyafanya ila mafanikio sasa duh.
 
Back
Top Bottom