JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Binadamu kukumbushana. Usije kuweka simu mfuko uliouwekea Hela. Weka na kingine tuendelee kukumbushana
5 Reactions
20 Replies
846 Views
Kitambi aka friji kinaninyemelea na umasikini wangu huu Ndo kabisa nishapa gundu na sijui nitatoboaje, vipesa kidogo tu kitambo kinanisonga Bilgate hana kitambi Elon musk hana kitambi Aliko...
22 Reactions
75 Replies
2K Views
1. Wachaga - Kimara 2. Wakurya - Ukonga hasa Kitunda 3. Wahaya - Mwananyamala na sinza 4. Wapemba - Kigamboni 4. Wanyakyusa - Nyomi lao lipo keko 5. Mbagala - wamakonde Hii inaweza kutumika kwa...
18 Reactions
104 Replies
4K Views
ANGALIZO Tafadhali Mleta Mada ( Uzi ) GENTAMYCINE siyo 'Mnunuaji' wa hao 'Malaya', ila hapa nawasilisha tu 'Malalamiko' ya 'Wanunuaji' wengi ambao huwa nina bahati ya Kukutana nao mara nyingi.
8 Reactions
111 Replies
12K Views
Jamani tujikumbushe matukio ya kufurahisha, kuudhi na kukera uliyokumbana nayo ukiwa USAGARA SEC. Utaje na mwaka. ********* School song: USAGARA nakupenda wala sitokusahau. .......
2 Reactions
127 Replies
17K Views
Hem wasikieni hawa wabishi: Kongosho: siku 1 nlimpigia simu mume/mke wangu akapokea lkn hakusema halow na mi nkauchuna hadi credit zikaisha. Excellent: wee cha mtt tu hio, mi kuna day 1 nlirudi...
12 Reactions
39 Replies
5K Views
Huyu jamaa ndie mbunifu mkuu na admin wa wazee wa mapigo na mwendo. namkubali sana kwa sanaa yake katika Page za Mashujaa FC, wazes wa mapigo na mwendo
1 Reactions
1 Replies
536 Views
Unapoitia mdomoni unaiskilizia fleva yake unaivuta kama Kwa sekunde tano mdomoni kisha unaipitisha taratibu katika koo na kuisikilizia Ladha ya kipekee ya mvinyo. Kwanini tunajiumiza Kwa mabia na...
1 Reactions
8 Replies
847 Views
Kwangu mm nikiwa na pesa usingizi huisha SAA 11 ila nikiwa sina hela au ramani ya kazi usingizi mpaka saa 3 asubuhi
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Pasipo kujali umri wako, Una watoto wangapi, Kuna watangulizi wangapi, Una komwe, Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi🌹🍎💔
45 Reactions
364 Replies
11K Views
Tegemezi nae anategemewa, ahudumiwe ili aweze kuhudumia. Chanzo ni nini?
1 Reactions
10 Replies
789 Views
Nanianichanganye nimfue? Nimkamie? Nimkande.?
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Wakuu, hiv kipi kipo poa kwa geto? Kati ya zulia au kapet la manyoya? Zulia. Kapeti za manyoya
2 Reactions
52 Replies
3K Views
Miaka miwili iliyopita nilitapeliwa na mtu ambaye nilimuamini sana, akakimbia sikujua anaishi wapi, wala ndugu yake hata mmoja, ila nilimwambia tutakutana tu, na kukutana ni tendo la lazima. You...
11 Reactions
14 Replies
1K Views
Sio mimi peke yangu Bali wadau wote wamezilalamikia pombe za Leo kuanzia bia Mpaka konyagi tumekunywa lakini hatukufanikiwa kulewa Mpaka sasa hizi.
1 Reactions
18 Replies
624 Views
kuna utafiti nimeufanya katika mikoa mingi nchini maeneo yote ya mijini yanakaliwa na watu kutokea kabila la wamanyema .... kwa mfano ukiangalia mikoa kama vile 1.Dar es salaam wazalamo...
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Kwenye maisha kuna vitu ambavyo mtu anaweza kuw anafanya kila mara na ikawa kero kwa wengine. Hali hiyo anawaweza kuwa anaifanya kwa kujua kabisa makusudi kuwa anawakera watu wengine lakini wapo...
10 Reactions
53 Replies
4K Views
Back
Top Bottom