JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kila enzi na nyakati zake.. Kipindi hicho najiunga JF kuna ma konki niliowakuta .. Aisee hao wakikutana kwenye mada hapatoshi Hawa ndio walisababisha kuibuke nyuzi za makapuku forum na tupia...
46 Reactions
966 Replies
11K Views
Kwa wale wazee mliosoma kipindi tunabeba maji, kidumu na mfagio kwenda shule mtakuwa mnakumbuka lile shairi moto na maji wakijibizana kuwa nani ni bora. Nyie vijana wa siku hizi sijui kama lile...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Kwa mimi Nilijuta. Nilimpenda so nikampa smartphone WiFi iko home 24/7. Show niliona .. ndo alipoanza kubadilika.. kulala saa nane usiku, kuamka mpaka umwamshe. Vyombo unarudi unavikuta. inshort...
0 Reactions
0 Replies
84 Views
Kila siku kuna ingizo jipya Nani yuko nyuma ya hizi ID au ni mpango maalum wa kupoteza maboya decoy NB : Jf is threat to the throne
18 Reactions
109 Replies
1K Views
Huu ni utajiri au umasikini? Shule zinakaribia kufunguliwa, na nina watoto zaidi ya 13 na wote wanasoma zile shule wanazofundisha 'a for apple'. Kila mmoja anatakiwa alipiwe deni la ada...
5 Reactions
31 Replies
249 Views
Wengi hatuendi vijijini tulipo toka kutokana na labda mazingira sio rafiki. Inawezekana labda, bado kuna nyumba za nyasi, udongo, choo kisichokuwa na ushirikiano, hakuna umeme, au mazingira ni...
6 Reactions
17 Replies
307 Views
Mimi serengeti lite ndoh unyama wangu nikiona hivi mate inadondoka.hata saiv najipigie tu wadau karibuni.
5 Reactions
34 Replies
278 Views
Baada ya kupotea JF kwa miaka 7 hatimaye nimerudi. Deadbody is Back
11 Reactions
113 Replies
2K Views
7 Reactions
15 Replies
229 Views
Uzi huu utakuwa ni maalum kwa waTanzania wote duniani kote kusheherekea ushindi wa Kombe la dunia la mpira wa miguu linaloandaliwa na FIFA kila baada ya miaka mi4. Hata kama ni mwaka 2500 au...
6 Reactions
41 Replies
6K Views
ni ndugu zangu upande wa mama yangu mzazi, ni watu kujisifu sana .na huwa hawakubali unyonge lakini ukweli unabaki palepale hawa ndugu zangu asilimia 80 wana maisha magumu sana...kuna wakati...
5 Reactions
19 Replies
254 Views
Kwa sababu mahitaji yangu yote nayapata kutoka shambani na ufugaji, sasa hela ya nini? Nikitaka kula nyama, naingia bandani nachinja kuku au naingia zizini nachinja mbuzi. Nikitaka unga wa...
22 Reactions
153 Replies
1K Views
Huu uzi ni maaluma kwa ajili ya kuchati bila matusi mana kuna wanaopenda matusi sasa hapa hata unapenda matusi ukija kwenye huu uzi badilika hapa ni kuchati mana napenda kuchati balaa na watu...
6 Reactions
22 Replies
222 Views
Kielelezo cha kula kwa ufupi wa kamba Sample bajeti Idadi ya mikoa 5 Idadi ya wanufaika kwa mikoa yote ni 100 Viongozi 15 @200,000 = 3,000,000/= Wasaidizi 50 @100,000 = 5,000,000/= Vidampa 50...
8 Reactions
26 Replies
480 Views
hamis77 Shusha nondo mkuu. Wamebaki wachache kama wewe
17 Reactions
52 Replies
673 Views
Kama kuna mganga ambae unamjua anaweza rejesha mahusiano kuwa shwari, weka namba apa turuke nayo.
1 Reactions
4 Replies
73 Views
Wakuu wazima hivi ni kweli kuna mganga wa mapenzi, au ni sound tu tunapigwa?
6 Reactions
40 Replies
3K Views
  • Redirect
Nipokee mawingun nifike salama.nimeshachoka sitaki mateso tena.
0 Reactions
Replies
Views
Waziri katambi cjui kitambi hilo tamko lako la nida hakikisha unawaambia watoa nida walegeze masharti yaan hata bora ya mganga wa kienyeji kuliko hayo ya nida. Na nina uhakika 50% ya...
1 Reactions
6 Replies
93 Views
Si bora mtu awe na hisia za pesa na utajiri kuliko hisia za kimapenz.mapenzi n upumbavu mkubwa wa umaskini. bora kuwa mseja kuliko kuwa...
1 Reactions
8 Replies
71 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…