JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Tuseme ukweli, walevi wana kipaji cha hali ya juu cha ubunifu. Wakati sisi wengine tunahangaika kutafuta sababu za maana za kufanya maamuzi maishani, wao hawana muda wa mawazo magumu—maisha ni...
9 Reactions
32 Replies
1K Views
Habari members, kwa wale waliotimiza miaka 10 na kuendelea tangu wajiunge na JF tujuane hapa.
1 Reactions
8 Replies
596 Views
😂😂😂😂 nimecheka sana huyu jamaa moto wake mbinguni sijui utakuwaje ase Eti Mungu upo? Ee upo 😂😂😂
1 Reactions
9 Replies
942 Views
Habari wakuu Leo nmemkuta mdada dukani anaongea na simu nikashtuka mno Huwa simuamini anavaa bangili za kiganga nyeusi mkono wa kushoto hujitanda shungi Leo jioni naenda kununua kitu dukani kwa...
4 Reactions
15 Replies
671 Views
Ukienda msibani halafu ukae nyuma ndio utajua nini kilimuua marehemu kule mbele huwa ni sifa tu kwa Marehemu. Ni hayo tu nilio shuhudia leo.
10 Reactions
36 Replies
1K Views
Jamani, humu JF mie nafurahishwa na mambo mengi. As we are approaching weekend hebu pitia some of ID's! Yaani Loh! Angalia hizi wehoodie, giLESi, @St Paka Mweusi (yaani Mtakatifu Paka Mweusi?)...
10 Reactions
147 Replies
8K Views
Jana jioni nilikuwa napitia makabrasha yangu, nikakutana fomu moja ya mahudhurio ambayo ilinikumbusha na kunirudisha nyuma kidogo mwaka 2018. Baada ya kuvuta kumbukumbu nikaishia kutabasamu tu...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Kuwa mkweli mm huwaga navunga sina hata niwe na chenji sehemu ya mia 6 natoa hata buku ili mradi nirudishiwe tu mia tano yangu
5 Reactions
16 Replies
672 Views
Jamani wapendwa nasumbuka usiku na mchana, mimi (naishi ulaya lakini mkenya) kuna kitabu moja nilinunua (amozon.com) nikafanya ilivyo andikwa, sio kitabu kibaya (nitapost mkione) lakini yanayo...
8 Reactions
88 Replies
4K Views
Wakuu, kwa sie tuliopitia kwenye kupanga nyumba ambazo kwenye eneo ni zaidi ya tatu, na unakuta wapangaji ni bachela, basi huwa kuna vitabia fulani haviwezi kukosa baina yetu. Kuna sehemu...
4 Reactions
14 Replies
550 Views
Huyu ndiyo Ibn Unuq aliyeshikilia maajabu yake kihistoria kwa miongo kadhaa mpaka akaingia kwenye viumbe wa kale wa ajabu. #1 Aliwahi kuikimbiza radi mpaka ikachoka na kuomba mapumziko. #3...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Nikasema wacha leo nijaribu kuwa mzungu nimwambie mama angu nampenda,. Kilichonipata Hawajai kuwa romantic😄😂😂
23 Reactions
126 Replies
3K Views
C&P Frank: Nesto Kwa Nini Mwanamke Yule Ananitazama Hivi? Nesto:mwanamke Yupi? Frank:yule Pale Kavaa Gauni Ya Bluu. Nestor:usimtazame Kamwe achana nae. Baada Ya Dakika Chache Frank Akasema...
7 Reactions
8 Replies
390 Views
The caski...pale rock mall[raha ya pale kuna vicheche wakutosha, pia unaweza kupiga mzigo kwenye gari pale parking]tatizo wa hudumu wapale ni mazombi sana unaweza kuangiza bia au chakula ukakaa...
3 Reactions
28 Replies
14K Views
Kwanza kabisa mimi ni muumini wa injili ya Yesu Kristo iletayo wokovu! Katika mishemishe zangu mara nyingi naungaunga na usafiri wa mwendo kasi katika moja ya stendi zenye watu wengi hapa Dar...
1 Reactions
1 Replies
310 Views
Kuna hii tabia ya hivi viemolo kupenda show off mbele ya wapenzi/wake zao pindi vinapokua viko karibu na sisi wanaume warefu,hapa hotel nilipo kuna kimoja kimeingia na sijui mke au mpenzi wake...
11 Reactions
33 Replies
1K Views
Kama mjuavyo utundu wa watoto kuchezea simu Juzi kati kaka shika kiswaswadu changu anacheza game Na fikiri aliingia pia upande wa kuseti tarehe na mwaka Akaseti mwa 2099 Massage zilivyo ingia...
1 Reactions
2 Replies
368 Views
6 Usile chakula cha mtu bahili, wala usitamani mapochopochorts yake, 7 maana moyoni mwake anahesabu unachokula.a Atakuambia, "Kula, kunywa!" lakini moyoni mwake hayuko pamoja nawe. 8 Utatapika...
5 Reactions
38 Replies
1K Views
Back
Top Bottom