Kutoka kwenye msemo wa Charles Bukowski
"Ukiwa hauna mtu anayekuamsha asubuhi, hakuna anayekusubiri usiku, ukiwa unafanya unachotaka huu tunaita ni upweke au uhuru"
Alikuwa rafiki yangu sana mshikaji sana kila siku ilikuwa lazima kujuliana hali mda mwingine kutembeleana kabisa ushauri mwingi kiufupi ushakiji ulipitiliza tukawa kama ndugu
Maisha yaliendelea...
Kwa mfano baba anaitwa Juma hatotaka mwanae amuite wee Juma Ila atataka amuite baba au mama anaitwa Esta. Hatoruhusu mtoto wake amuite Esta Ila amuite mama.Je Kuna shida gani mwanao akikuita jina...
Kuna Watu Ni Bure Kabisa! 😀😀
1. Unapewa lift unamwambia mwenye gari apunguze sauti ya redio na wakati kuna ngoma yake anasikiliza! Wewe ni bure kabisa😀!
2. Unaingia kwenye ofisi ya mtu, simu...
Wadau hamjamboni nyote?
Mjumbe mmoja tu tena mbishi kweli na anajifanyaga kasoma na mjuaji ndiyo kapinga azimio letu!
Tafakuri ya kina kwa wenye hekima za kipekee
Mchana mwema
Zebra Question by Shel Silverstein.
I asked the zebra
Are you black with white stripes?
Or white with black stripes?
And the zebra asked me,
Or you good with bad habits?
Or are you bad with good...
Wadau, kuna kijana amenifuata huko DM na kuniita shangazi kwasababu amesema nimejiunga humu wakati yeye ndiyo anaanza shule ya msingi.
Sasa najaribu kupima, je natosha humo kwenye ushangazi na...
Popoma enzi hizo ndo amegraduate SAUT mwanza mass communication.
Akawa anaandika threads na michango humu kwa kuweka rangi tofauti blue, nyekundu, njano, pink kwenye maandishi.
Huyu GENTAMYCINE...
Miaka hio niko dar, nimepanda dala dala natoka gongo la mboto kuja kariakoo, kufika mitaa ya airport (ndege) naona njiwa anaingia ndani ya dala dala yetu kupitia dirisha la nyuma na akajibanza...
Hello ladies and gentlemen, it's my hope that you're doing well.
The most important thing that intrigued me to put down this discourses is all about LOVE & APPRECIATION.
I have been tried to...
Jamani wapendwa humu ndani leo tarehe 6/2/2014, mpendwa wetu sungura1980, anaadhimisha siku yake ya kuzaliwa.
Nakutakia maisha marefu na yenye furaha,amani,baraka na upendo.
Enjoy your day!!!
Wakuu
Kwanza mtanisamehe.
Huu ni mtazamo wangu tu kuhusu sisi weusi yanapokuja mambo yanayohitaji tuwe siriazi, tumekuwa sio kabisa.
- Mtu mweusi ana shida sana.
- Naungana na wanaosema weusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.