Kama mbwai na iwe mbwai. Mara nyingi nimesoma kuhusu wanaume wa dar na vituko vyao. Nimejaribu kuangalia wake zao wakoje. mmmh mie nimegundua haya, sijui wewe umegundua nini.....
Wanaagizi...
Kwa wale wakazi wapya wa Arusha ambao hamjazoea hili baridi kama mimi mnaendeleaje? It is too cold here jamani mpaka I miss Dar.
Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty...
Nimeikuta mahali hii, soma mpaka chini Kisha tafakari.
Francis Chacha Wambura
Kazi; Mkulima
Umri: 98
Wake: 6
Watoto: 47
Wajukuu: 86
Sababu ya kifo: uzee
Lazaro Olemgbe
Kazi: Seremala...
Hi.
Ushauri gani unaweza kumpa binti aliye in her early 20s ambaye anajiandaa kuhamia mji mkubwa kwa mara ya kwanza, kujihusisha na kazi ya waitress asiye na exposure ya maisha yoyote? Anajiandaa...
Kwa miezi kadhaa sasa kama unafuatilia posts za Clouds FM utagundua kwamba watu wengi wanalalamika kupotea kwa redio hiyo kwenye mikoa yao kwa muda mrefu.
Miongoni mwa mikoa ambako Clouds...
Nimeona sio jambo baya Kama tukawa na Uzi maalum kwa ajili ya viwanja vya starehe, Tukutane hapa
Kupeana updates za viwanja
ubora wa huduma zitolewazo kwenye viwanja
viwanja vya kukwepa...
Nije moja kwa moja kushare na nyie kilichonileta humu leo.Nimepata bahati ya kutembelea nchi za ulaya, kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo tamaduni zao. Kuna mambo mbali mbali ya kuvutia na ya...
Leo nimemkumbuka Mtangazaji wa enzi hizo kutoka KBC (Kenya) Leonard "Mambo Mbotela ni mtangazaji mashuhuri wa redio nchini Kenya. Tulimjua haswa kupitia kipindi chake mashuhuri cha "Je, hii ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.