Wanaume wa JF ni wanaume hewa?

Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.

Kwani hukuwa na business Plan ya namna ya kuhudumia hiyo Altezza yako kabla hujanunua? Kwani ukiambiwa unapendwa ndo kigezo cha kuanza kulipisha? Huwa umelipisha wangapi ili tukokotoe Kodi kama mrejesho wa Serikali? Binafsi nishaanza kunusa harufu kwamba unaweza kuwa mwanamke hewa na ndo maana umeweka avatar hewa ili uwaingize kingi kina abdallah kichwa wazi!
 
Eti mtu wiki nzima anakutumia PM ooh Jane nakupenda. Ooh umependeza sana. Ooh you are the most beautiful girl on earth. Basi unamwambia nitumie hela ya mafuta niweke kwenye Altezza yangu nikufuate ulipo. Loooo! Longolongo zinaanza. Punguzeni uhewa nyie.
Ladies bana, kuna jamaa yangu alimbandua mke wa rafiki yake tena si kwa kutongoza! Alimwambia tu "shem jamaa kasafiri hii baridi haivumiliki aisee...!!" Yule mwanamke akajibu niwekee mafuta ya 50,000/ tukatoane jasho.

Jamaa akatoa 60,000/ akabandua kiulainii!! Niliumia kama ni mke wangu duu!! Yaan hata jamaa ana umri wa late 30 lakini anakwambia sioi, wanawake wamekuwa cheap sana hasa walio kwwnye ndoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom