JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari za jumapili members wa jamiiforums. Asilimia ya kumwamini Mungu imebaki moja tu.
7 Reactions
100 Replies
2K Views
Wakuu ile thread ya Spana & VAR Movement ilipotelea wapi humu?? Embu check hii komenti ya mwamba kwenye hizo images 😂😂🙌
0 Reactions
2 Replies
206 Views
Eti wakuu ivi kuna ulazima? Maana naona kila mtoko ni unaambatana na full minyama choma n.k. Kwani hamuezi kuchill tu sehemu mkastorika tu na labda kupooza koo kwa maji kidogo?
4 Reactions
19 Replies
455 Views
1. Wanyaturu 2. Wanyiramba 3. Warangi 4. Wairaq 5. Wachaga 6. Wazigua 7. Wanyakyusa 8. Wagogo 9. Wahehe 10. Wasukuma Kama kabila lako halipo apo usijali litakua kwenye kumi dhaifu. 😃
1 Reactions
2 Replies
750 Views
Sina maneno mengi ila ninayotoka moyoni. Moyo wangu unaelea katika bahari ya mapenzi yako. Wewe ni kama ua langu zuri, lenye harufu nzuri na rangi ya kupendeza. Kila ninapokuona, moyo wangu...
8 Reactions
17 Replies
1K Views
Salaam kwa wote mliowahi kusoma Shule ya Sekondari ya Jitegemee lengo la uzi huu ni kusalimiana na kukumbushana vitu vizuri na vya kipekee vinavyopatikana/vilivyokuwa vinapatikana shuleni...
2 Reactions
355 Replies
72K Views
Niliijua JamiiForums 2013 wakati nimemaliza mafunzo ya JKT. Nilikuwa nikifukuzia ajira za majeshi na idara za ulinzi. Sasa wakati naandika jambo google nikajikuta nimeletwa JF. Nilishangaa sana...
6 Reactions
9 Replies
533 Views
Mdau karibu utuambie
0 Reactions
6 Replies
360 Views
Eti ni ya kweli haya ? Naona reply nyingi kwenye nyuzi zangu kua wanawake waliojazia kwenda nyuma ndiyo kila kitu. Haya mtuambie mnayapendea nini matraaakoooo makubwa 🍑? Vipi wanawake wenye...
13 Reactions
126 Replies
3K Views
Au kuna mwanaume mwingine uko katumiwa tujuane tulio pata wanawake wa hivi huyu si nione anaoneka sio kama wengine wa jf
8 Reactions
71 Replies
1K Views
Mimi sina mengi ila huyu dada🤩😍 mtansahati ninamkubali. Ninakutunuku maua mengine leo Qashy Lilith Njoo nikupe like basi😘
11 Reactions
118 Replies
3K Views
Maybe you should talk to someone, clear the air, rekindle lost time, find that sweet spot in the midst of all the chaos. I know, I know, therapy comes in a variety of demeanors and because of that...
1 Reactions
1 Replies
523 Views
Kuna baadhi ya watu wanekerwa na SMS wanazoandikiwa na ndugu, jamaa, marafiki, wapenzi (mademu)nk. Kuna rafiki yangu anakerwa na SMS zenye herufi 'X' inayokaa badala ya 'S' mfano mtu anaandika...
9 Reactions
138 Replies
3K Views
Kuwa off wiki ambazo walevi wenzio ndo wamebananika kazini shida sana. Ngoja nipoteze muda kuongelea hili swala la raraa reree Huyu ndugu yetu ana kiwanda cha likes, hebu nipe siri na mm niwe...
32 Reactions
848 Replies
25K Views
Mimi bwana enzi hizo nikiwa nimehamia Dar nikiwa naishi kwa kaka yangu kukawa na shemeji yangu nae ana mdogo wake wa kike tukawa tunaishi nyumba moja. Mimi geto langu lilikua banda la uani na la...
3 Reactions
27 Replies
5K Views
Comment on it Mimi nilitumia: Nokia jeneza 😆 Nokia Mshindi Nokia mjumbe ana hoja
0 Reactions
0 Replies
232 Views
Wakuu salama hapa Shemeji/wifi yenu kanizalia kijana wa kiume usiku wa kuamkia leo Hapa nilipo nafikiria jina la kumpa kijana huyu, manake majina ni mengi sana, ila nimeona sio mbaya...
0 Reactions
53 Replies
8K Views
Back
Top Bottom