Kutuamsha salama
Kutufikisha kazini salama
Na kumwamsha huyu anaesoma hapa salama
Utusaidie turudi salama na tukumbuke kutoa shukran kwako kila iitwapo Leo
Kama waamini sema amen
Kausiku kameingia, njooni tuzogoe.
Mpo humu wanaume ambao mnapenda muachiwe mbususu zikiwa na minywele imetaradadi, wakinyoa mnakasirika mfano mzuri huyu hapa "Mwanamke kunyoa sehemu za Siri bila...
Nimeenda kununua hizi Mali ,nikaingia nazo kwenye dalala aisee
Nikasikia wanaanza kusali🤣🤣😂😅😆
Kisha wakamwambia konda anishushe,eti Mimi sio mtu WA kawaida
Jamani weusi wenzangu acheni ushamba...
Kuna watu unakuta wanaulizia ID flani za JF baada ya kutoonekana kwa muda.
Kuna watu hupata ushauri ambao unawaondoa kabisa kwenye hali waliokua nayo.
Kuna watu husema wamekua addicted na JF...
Sina hakika kama ni Afrika nzima au Mtanzania tu.
Wengi wao akikupigia simu baada ya kupokea simu yake na akagundua kuwa haukuwa mlengwa, basi hukata simu ghafla bila maelezo yeyote.
Huwa kuna...
Nakumbuka ile nimemaliza tu form four nikasema hapa sibaki home nasepa zangu porini kupiga mishe za kuchana magogo,kusomba mbao na kupakia kwenye magari.Basi time ilivofika kuna jamaa nilisoma...
Habari wakuu
Natumaini wote tulisoma kwenye zile shule zetu mambo mbali mbali, ikiwemo mambo ya kuzingatia katika uanzishaji wa kiwanda.
Inawezekana yale tuliyoyasoma shule, tumeyaacha kule kule...
Mimi ni wanangu wa kiume, hua wanaamka asubuhi na kuweka wali kwenye rice cooker kwa sababu wakila vitafunio kama mikate hawashibi.
Wanaanza na chai na kitafunio kama starter, halafu wanakula...
Yani wazungu bana hii chatGPT wametuweza sana, hata hivyo wakuu, hii kitu isifananishwe na Ile takataka ya wachina kabisa. Chatgpt ni next level .
🤣🤣🤣.
Asamaleko wadau
Mimi nina hii tabia ya kupenda vitu vikubwa na vyeusi. Pengine kama inakuwa na sababu fulani naweza kupata jibu hapa.
Tangu enzi nanunuliwa mavazi nilikuwa napenda sana nguo...
Habari zenu champs!!!
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema aisee naombeni msamaha wakuu najua kwa namna moja ama nyingine tulikwaruzana sana humu kutokana na kupitishana misimamo na ikifikia...
Leo nakiri bila kushurutishwa makalio yana umuhimu wake.
Najua baadhi ya waja hasa flat screeners wataguna😜na wengine wameenda mbali zaidi kwa kudai eti makalio makubwa yanapunguza akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.