JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kichwa kinajieleza Wakuu hivi. Ukisikia yule Ana Roho mbaya Wewe huwa. Unaelewa nini..?
2 Reactions
28 Replies
337 Views
Huku wakivuta hewa safi na kusikiliza milio ya ndege. Wanakuwepo mjini kwa ajili ya majukumu tu, na ikifika mida ya jioni wanarejea kwenye makazi yao nje ya mji. Wenye akili ndogo watapambana...
18 Reactions
100 Replies
1K Views
Watu wengi hufikiri ndege huimba kwa ajili ya kuburudisha tu, lakini ukweli ni kwamba nyuma ya kila mlio kuna ujumbe muhimu. Ndege wa kiume, kama njiwa na spicies nyingine nyingi, hutunga...
0 Reactions
0 Replies
39 Views
Hivi unajuaje humu unapigwa ban bila sababu za msingi,? Mods mnaonaje mkishea sababu ya mdau kupigwa ban jukwaani?🤔 Mnapiga ban nyepesi mno bila kutoa sababu na maelezo yakinifu 🤔
22 Reactions
177 Replies
2K Views
Nimekuwa nikiona mara kwa mara nyuzi zinazoulizia wanachama ambao wamepotea jukwaani kwa muda mrefu, wengine miaka mitano, minane au zaidi. Sasa naelewa kwa nini jambo hili hutokea.Najua ukimya...
4 Reactions
16 Replies
241 Views
We nunua gari acha mkweche. Unaanzaje kunua gari milioni 3 bora uchukue boda au guta ufanye biashara Matusi ruksa😀
2 Reactions
3 Replies
88 Views
Wewe ni mtu wa kuchill nyumbani 🏡 au wa kutoka kwenda viwanja
1 Reactions
0 Replies
54 Views
Wadau ilishaletwa thread hapa kuhusiana na hizi status na profile picha za watsap, mkewangu ni muathirika wa hili, status zake za ovyo yaani kana kwamba hajaenda shule. Profile picha zake ndo...
20 Reactions
178 Replies
21K Views
Kuna jamaa aliwahi niambia kama mimi angekua yeye, angetembea na wadada wengi sana, nikamuangalia nikajua ndio uhalisia, wanaume wengi hawana mvuto kwa wadada, Asilimia kubwa ya wanaume...
1 Reactions
3 Replies
79 Views
Habari za muda huu wana jamiiforums, Okay tuanze, mara nyingi tunafikiri "raha" inatokana na vitu vikubwa tu kama pesa au mapenzi. Lakini kisayansi, ubongo wetu unazalisha kemikali za furaha...
1 Reactions
11 Replies
115 Views
Kununiwa na mke kusikie tu usiombe yakukute Weka mkasa wako
1 Reactions
0 Replies
51 Views
Nakumbuka ilikuwa Mwaka 2008 mwezi Juni nilikuwa naenda kikazi Lusaka, Zambia basi sijui hili wala lile kwenye tiketi iliandikwa saa ya ndege kuondoka saa 12 asubuhi (ndege ndo inapaa) mimi...
64 Reactions
2K Replies
354K Views
Moja kwa zote kwenye mada!! Kifo kisikie tu wakuu leo baada ya mvua na radi kubwa na nyingi niko zangu mtaan nimejibanza sehem nikisubili hali ipoe niende na mishe zangu Sasa kilichofatia hapo ni...
4 Reactions
22 Replies
1K Views
SHEMEJI: bandiko ni kitu gani na inatoka wapi? KIJANA: Si unajua shemu mimi JF ndio napotezea mawazo, sasa nimepigwa ban, siwezi ingia SHEMEJI: ndio maana asubuhi hadi jioni upo na simu tu tena...
4 Reactions
14 Replies
231 Views
Habar za Jumapili wakuu Mlioenda kanisan mmekumbuka kutuombea sisi wengine
3 Reactions
24 Replies
265 Views
Nani wana nafasi ya kipekee peponi kwenye ulimwengu wa jinsia pinzani?
19 Reactions
258 Replies
3K Views
Dah the voice kinyerez habari nyingine watu wanakula maisha Acha tuu karibun the voice
3 Reactions
10 Replies
666 Views
Kifungua kinywa (breakfast) bomba ni kipi?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Asubuhi: Ma-Don wa Chai ya Rangi Siku inaanza saa kumi na moja alfajiri kwa nyuzi za kujimwambafai. Raia wanaanzisha mada za "Niko Five star hotel Dubai..nakunywa capuchino ya Brazil huku...
8 Reactions
72 Replies
607 Views
Back
Top Bottom