kuna mahali alikosea step mod bila huruma wala onyo akamlamba BanDuh sasa seran kakosa nini ?
Uki cross tu redline ban inakuhusu buddyKama notification ya kwenda mbinguni itatumwa kupitia JF mi ntakua wa mwisho kujua, ni kama kuna operation 'tembeza ban' inaendeshwa kimya kimya.
kuna mistakes ukizifanya automatic lazima upate Ban.Hapana ,ban kuna namna zinakosea kutoa haki
Eti ukianza kusema aliyepigwa ban kaonewa, automatically na wewe unakuwa kwenye ramaniKivipi bwashee?
sababu lazima upewe vilevile utapewa onyo mara moja ila kuna baadhi ya mistakes ukifanya tu Ban hukwepi.Siku hizi hawakupi sababu ya ban?