Hebu tuzikumbuke Shule zetu za msingi tulizosoma miaka hiyo na Jambo gani ambalo hutalisahau?
Aidha si vibaya ukasema ulikuwa unashika Nafasi ya ngapi.
Karibuni!
Kwema wakuu ?
Ninasikia Madilu system aliwahi kufika Dar miaka hiyo. Kwenye wimbo wake unaitwa Djaffar amemtaja mtu mmoja anaitwa Anielo (sina hakika na spelling) kwamba mtu huyu ni mkazi wa Dar...
Kila nikisoma maandiko humu naona neno "MBUSUSU" halikosekani🙄
Mfano: kuchakata mbususu, kula mbususu nk..
Ni kinini hicho, maana Tanzania kwa Rejesta/ maneno yasiyo rasmi mnajiweza...
Naomba...
Bikra bikra!
Enzi za kale babu zetu walihakikisha watoto wao wanatunza bikra zao hadi siku ya ndoa!
Binti aliyejitunza alionekana kuwa ni bora zaidi Na heshima kubwa kwa wazazi wake!
Njia...
Kulikuwa na washtakiwa watatu, Mmasai, Mmakonde na Mchaga. Wote waliukumiwa kufa/kuwawa kwa kukutwa na madawa ya kulevya, kule Jamhuri ya wa watu wa China. Serikali ya China kwa kuzingatia...
Katika pitapita zangu mitaani mji wa ZnZ, siku moja nilipata bahati ya kuwasikia ndugu zangu wa kule Pemba.
Walikuwa wakijadiliana kuhusu kipindi kilichokuwa kimerushwa na runinga, kipindi...
A Chinese couple got married. When the baby was born, her eyes were big and blue, hair was curly and blonde, skin was brown.
Finally, name of baby was SUM TING HONG ("some thing wrong")...
A Tourist from Germany checked into a hotel in Tanzania. At Arusha Ngorongoro Crater...!
There was a computer in his room, so he decided to send an email to his wife. However, he accidentally...
Tajiri hatoi maelezo mengi pesa ndiyo inaongea.
Kwanza ifahamike hapa sitongozi bali natoa nafasi kwa wadada wa jf.
Huyu mpenzi wa sasa amenishinda, hajui kitu kuhusu mapenzi.
Tajiri Sina BAYA...
It was the first day of school and a new student named Chandrashekhar
Subrahmanyam entered the fourth grade.
The teacher said, "Let's begin by reviewing some American History. Who
said "Give...
A mortician was working late one night. It was his
job to examine the dead bodies before they were sent
off to be buried or cremated. As he examined the body
of Mr Schwartz, he made an...
Jamaa mmoja wa kichaga aitwae Masawe aliamua kurudi kwao kwenda kusheherekea christimas kama kawaida yao karibu wachaga wote…
Baada ya makaribisho ya hapa na pale na baada ya kupata mbege...
Kwanza namshukuru sana mwenyezi Mungu kuiona siku ya leo. Happy birthday to me, leo nimetimiza miaka kadhaa duniani hapa.
Nimeingia floor ya tatu na zaidi, sina mengi niliyofanikiwa ila...
Salaam alyekum,
wakati sosho media zimejaa taarifa zisizo na tija sijui gwaji boy, sijui gen z binafsi naona ni kama kelele za chura ambazo hazimzuiii kuendelea na kazi huo ulikuwa utangulizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.