JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Katika maisha nilikutana na bek3 wengi niliokula na sasa na umri huu yananitokea haya
1 Reactions
8 Replies
480 Views
Dada yangu ukikutana na mwanaume amevaa kofia kama hii, kaa naye mbali. Watu wanaovaa kofia hizi, kila mwanasiasa maarufu alisoma naye shule moja Tosamaganga au Galanosi, ukimkopesa pesa ndio...
25 Reactions
105 Replies
5K Views
Maisha Yana story ndefu, Nilipenda kusoma science, sema nilikutana na matopic magumu sikuchelewa kukimbia. Kwanza namlaumu huyo aliyetunga topic ya maths ya LOGARITHMS 😅 Aisee hili jiwe me...
12 Reactions
104 Replies
14K Views
Akirudi Tutamsema.....
2 Reactions
4 Replies
319 Views
---Nimesha tenda wema nimeumaliza, Kilicho baki sasa ni ubaya....... ( Saa nane usiku hiyo!) Bange, pombe zinawekwa kando, kila muhuni anamtupia jicho mnyonge wake, balaa tu.
9 Reactions
21 Replies
816 Views
You may think you are facing problem but the truth ia, you are the face of problems. People with personal face will understand it literally
0 Reactions
0 Replies
157 Views
Wasalam wakuu. Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama.. I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje. Nimeshindwa hata...
38 Reactions
528 Replies
14K Views
Uongo upi unausikia mara kwa mara? au umesikia mwanamke au mwanaume anaambiwa au amekuambia. CC: uzuri_hatujuani Castle_Lite secretarybird 50thebe Poor Brain Khanji kapoor
7 Reactions
76 Replies
3K Views
Wakuu, Kwanini unatumia mtandao wa simu Ulio nao sasa? Ni criteria zipi zilikufanya Uchague namba ya simu ya mtandao fulani kama namba yako kuu? Je incase ume attain Popularity una handle vipi...
3 Reactions
9 Replies
518 Views
Asalaam Wakuu,, moja kwa moja Uzi tayari Tujikumbushe Ubabe na Uhuni wa Zamani Mashuleni,,Taja Watu walio Vuma na kutikisa kwa Majina, Miaka hiyo Ukiwa Skuli
0 Reactions
8 Replies
378 Views
Moja ya changamoto nillmezipitia ni kukaa na waswahili Nyumba za kupanga (Wanawake mbaya zaidi hawajasoma hawana Elimu . Kwanza wachafu Wambea Wanawivu Wana nguvu hasi (Negative energy) Kuhusu...
2 Reactions
7 Replies
376 Views
Karibuni tusheherekee pamoja siku hii muhimu kwangu wapendwa. Ninapokea zawadi kwa mikono miwili. Thank you 🫶🫶 😘😘 🥂🥂
17 Reactions
59 Replies
2K Views
Kuna jamaa hapa kijiweni kasema kama ulikuwa hauna unafuu kabla ya 2015, umebakia hivyo hivyo had hii sasa yan unaishi kwa mishe to mishe zisizoeleweka
0 Reactions
0 Replies
202 Views
Salamu wanajukwaa. Popote ulipo Setfree unaombwa kurudi jukwaani ushushe elimu ya kiimani. Uwepo wako ndio mafanikio ya injili hapa JamiiAfrica. Wewe na mama mchungaji Donatila elimu yenu ni...
4 Reactions
26 Replies
863 Views
GT Watu wa Mkoa wa Mara na viunga vyake Mjiandae kwa ubwabwa, sato na sangara.
1 Reactions
6 Replies
379 Views
Niliwahi kwenda ghetto la mwana fulani nikakuta anapikia bunsen burner! Nilipigwa butwaa kucheki pembeni kitandani ametandika shuka la msd. Cc: Joanah | Mshangazi dot com | Intelligent...
22 Reactions
141 Replies
5K Views
Asanteni kwa majibu ya uzi wa jana, nimeona nakidhi vigezo vyote vilivyotajwa na napokea jina la “mshangazi”. Haya niambieni hawa vijana wa 2000 nao wana sifa zipi. Ambao mmeshapata uzoefu nao...
11 Reactions
190 Replies
5K Views
Kwenye maisha tunakutana na Mambo mengi yapo yenye kutufurahisha na kutuhuzunisha. Japo Kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa vinatupa nafasi ya kuwa watu wengine kabisa. Mfano 👉I kwangu ni jamii...
41 Reactions
976 Replies
29K Views
Mfano wewe mwanamke ungezaliwa mwanamume Wewe mwanamume ungezaliwa mwanamke. Unahisi ungekuwa mtu wa namna gani?
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Back
Top Bottom