Kuna mda dharau, masimango na umaskini hua vinafanya watu kupata moyo wa kupambana ili kujitoa kwenye chanzo kilicho fanya wadharaulike je wew umewahi pitia hali gani ikakufanya utafte sana pesa...
Hello,
Siku ya Alhamis tarehe na mwezi kama wa leo mwaka 2016 nikifanikiwa kujiunga na mtandao huu baada ya kuwa mtumiaji mgeni kwa muda wa miaka mingi.
Japo ni mika 3 tu niko kama member rasmi...
Wanaume wenzangu muwe mnaenda kuchunguliamo mara Moja Moja
Msije sema sijawaambia. Ukishawekwa hapa..ni mwendo wa sawa waifu wangu..ndio ndio..nakutumia waifu ...Ile nyumba ntaiuza tu hela zote...
Hapo zamani za kale, Wahehe na Wabena waliandaa mashindano ya unywaji wa pombe kali.
Wiki moja kabla ya mashindano, Wabena waliamua kutuma wajumbe wao kwenda kwa Wahehe kuthibitisha kama kila...
Salaam wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi binafsi naamini Mshana Jr ndiye member bora wa jf wa muda wote kama alivyo pele kwenye kandanda na muhammad ali kwenye masumbwi.
Huyu...
Naam habari za muda huu ndugu zangu. Msinichoshe nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye kisa changu.
Mwaka 2018 mtaani kwetu kuna mtu alikua na duka anauza vitu vingi sana na alikua kalikata...
Amar Bharati ni raia wa India aliyeweza kuunyosha mkono wake juu bila kushusha toka mwaka 1973 kwa kuashiria kumtukuza mungu Shiva.
Ameweka nadhiri hii kwa lengo la kusafisha na kutakasa nafsi...
Wakuu salamu.
Kwa muda wa zaidi ya miaka saba sasa nimekuwa nikisumbuliwa na mauzauza mwilini.
Najisikia vitu vinatembeatembea mwilini na mwili unawaka moto, pengine kama vichomi na hivi...
Kuna nukuu isemayo "An empty mind is a devil workshop" . Sasa hapa katika kuwaza nimejikuta nafikiria itokee labda chance ya ku select nyimbo niipendayo ichezwe katika siku ya mazishi yangu...
Wazee Wa nguvu Mali mpooooo? Mimi ni miongoni mwa watanzania waliowah kupata bahati ya kusoma kwenye hyo shule.
Nasema bahati kwasababu ya upekee wake katika taaluma , mandhari madarasa n.k...
Katika ulimwengu wetu wa kidijitali, chuki hujidhihirisha kwa njia ya matusi au kejeli, lakini pia hujificha kwenye emojis kama hizi: :mad::confused: 😠 👿
Watu wengine huonyesha chuki yao kimya...
Hivi imetokea siku ya harusi yako mpenzi
wako wa zamani akaja kushuhudia harusi
yako alafu ukapewa nafasi umchagulie
nyimbo utamchagulia nyimbo gani?
Ukizingatia watu kibao wapo eneo la...
Wakuu,
Nimepata hamu sana ya kuikumbuka shule niliyosoma O Level na kumaliza mwaka 1993 Form Four. Hebu kama kuna mtu alisoma kipindi hicho tubadilishane mawazo; wakati huo Mkuu wa Shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.