Sio Kila mtu ana kumbukumbu nzuri za utoto wake. Wengine tumepitia life gum Sana utotoni.
lakini hata hivyo hatukosi Jambo la kutufurahisha Kila tukumbukapo maisha ya utoto tukiwa shule.
Jambo...
Nakumbuka enzi hizo hicho kitabu kilikua Cha kujifunza kusoma
Sadiki na chitemo[emoji4]
Darasa la tatu shairi la" karudi baba mmoja" lilikua matata Sana.
Tulikata dumu na kutengeneza...
1. Member wengi wa JF wanamiliki ID zaidi ya moja
2. Member wengi wa JF walianza kuwa visitor kabla ya kujiunga
3. Member wengi wa JF hupenda kushinda jukwaa la siasa, jukwaa la mapenzi na...
Jomba relax... manzi ako tuko nae hapa Dom kwenye mkutano mkuu wa chama pendwa CCM. Ni mgeni mwalikwa kwenye huu mkutano. Si unaona wasanii kibao wamekuja kuhudhuria? Hata wewe ungepata mwaliko...
Shalom jukwaa!
Nilipokuwa mwanfunzi nilikuwa nina tabia ya kutofika shuleni kwa sababu nilikuwa sipendi shule kuliko kitu chochote kwa kipindi kile lakini wazazi walikuwa wananilazimisha kwenda...
Leo ndo ninemegundua Tatizo langu kubwa ni kutopenda kumpa mtu pesa.
Nimeombwa pesa ya Kununulia umeme nikamwambia Tuma miter namba, kilichofuata mtu kaka kimya hajibu sms Wala simu Hapokei.
Baada...
Baada ya mbunge Taiduna kuwaita Watanganyika " kenge" wa ndani.
Wacha tujadili tabia za kenge, usikute kweli sisi Watanganyika ni kenge
1. Kenge ni kiumbe kinapenda kujifananisha na mamba.
Hapa...
Hivi hawa wanyama wamewakosea nini binadamu kunasibishwa nao? Kwa nini isiwe tembo, simba au twiga? Watu wakiwa na makasiriko huita wenzao majina hayo kwa nini?
Kwema? Wana jf hamjambo?
Kazi nyingine mabos... bosi kanipa kazi nipige skruu mbao kwenye dari dakika mbili namuaona yuko chini ananiangalia anaoana nafaidi sana.
Udenda tiriri anataka kazi...
Should long-term partners know each others' phone passwords?
(Je, wapenzi wa muda mrefu wanafaa kujua nywila za simu za kila mmoja?)
---
Chaguo lako ni lipi.
Weka comment na eleza kwanini?
1...
Miaka ya 80 Wazee wangu walisumbuliwa na mauzauza pia na maradhi yasiyoisha, Basi siku moja wakasikia kuna mganga ametoka Uganda anatumia (Amaembe)Mapembe sijui niite hivyo ila kwa wakazi wa...
Nakumbuka wakati naanza safari yangu ya kitaaluma pale Eden Valley primary school iliyopo buswelu mwanza, moja ya kitu kilikuwa kinanishangaza kuhusu hawa wakenya ni kitendo chao cha kunywa uji...
Wakuu,
Kila mmoja wetu humu jukwaani ana stori yake ya kuvutia,kusisimu na kushangaza ya kwa nini alijiunga jf!
Wapo waliovutiwa na stories za mapenzi,siasa,michezo nk.
Kwa upande wangu stori...
Hiyo namba ndio mwaka wangu wa kuzaliwa,ulivyokuwa na hamu ya kujua Etugrul Bey ana miaka mingapi utapiga hesabu bila aibu ujue nina miaka mingapi,usijichoshe hii may nimetimiza miaka 46,je kuna...
Habari wakuu.
Uzi huu ni kwajili ya Quotes Mbali Mbali Kwa watu mashughuli duniani ambao bado wapo Hai na wengine waliotangulia kwenye ulimwengu mwengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.