Nimejaribu kiwasiliana nanyi lakini hamsomi sms zangu and mmenizuia jukwaa la Complaints how can i reach you guys!?. Najua sio Ban ningekuwa na taarifa lakini please please return my Account there...
Maisha kuna muda ni mazuri nyie,acheni tu.
Siyo lazima uendeshe gari kubwa ,uwe na pesa nyingi hapana.
Namaanisha uwe na Amani ya moyo pamoja na pumziko la nafsi.
Leo tangu asubuhi baada ya...
Najaribu kutafuta mtu wa kugombana naye sipati. Nimezoea humu JF atajitokeza mtu tutatukanana siku au weeks hapo najisikia saaaaafi kabisa.
Hawa jamaa kwenye forums zao na maofisini wapo busy...
Siku ya leo Ijumaa Nilipofika nyumbani nikiwa naitoa simu kwenye mfuko ghafla ikaanguka sakafuni.
Vile nimeinyanyua na kuiwasha haiwaki kabisa kuna vidoti tu vinatoa mwanga
nikajikokota kwa...
Habari za asubuhi wana..
Huku duniani kuna watu nahisi wana matatizo ya kiakili na wanahitaji kumuona daktari.
Kuna hizi tabia nachukia sana kama mtu kuongea na mimi hadi akusonge...
Wadau labda huenda mimi nazeeka Vibaya au nimepitwa na wakati
Kwa mtazamo wangu naona kama haiko poa mwanaume kujisave picha yako kwenye screen ya simu halafu kila wakati unajicheki au mimi ndio...
Mm nilikuwa na uraibu wa karata na drafti ilikuwa haipiti siku sijafanya hii michezo ila kwa sasa hata nikikuta watu wanacheza sitamani tena kucheza kabisaa.
kuna nguvu ya ajabu kwenye kufanya mambo kimya kimya_
Jifunze kuwa mbinafsi kwa njia sahihi. Kuwa mbinafsi sio ubaya – ni ulinzi wa ndoto zako. Ni kukataa kupoteza muda kwenye kelele za watu...
Wakuu, kama kichwa Cha habari kinavyojieleza, this weekend nitakuwa Kilwa(Lindi) nataka nitembelee hii miji mikongwe ya kilwa yaan kilwa Masoko na Kilwa Kivinje..
Naomba kufahamishwa maeneo ya...
Wasalaam ndugu zangu
Naomba nilete kwenu hii hoja.
Kuna njiwa wawili wa kike na wa kiume Huwa wanakuja kulala nyumbani kwangu, chini ya bati au Dari lakini asubuhi wanaonfoka ikifika jioni...
Je, unatambua kuwa kuna baadhi ya matunda na mboga za majani havitakiwi kuwekwa kwenye Friji?
Kuna baadhi ya aina ya Matunda na mboga za majani havihitaji kuwekwa kwenye Friji (Jokofu), Mfano...
Mimi binafsi siwez lala bila mto
Siwezi lala uchi yaan mali zangu ziwe naked kabisa siwez lazima nilale na bukta au pensi
Siwez lala taa ina waka
Siwezi lala mwanzoni mwa kitanda lazima...
Kuna matunda yananishangaza mfano parachichi ukisema ulinunue jioni usipolila ukilala Tu ukiamka kesho lishaanza kuoza weusi kwa ndani ila yakae pale kwa muuzaji hata kama limeiva ananunua mzigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.