JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimejaribu kiwasiliana nanyi lakini hamsomi sms zangu and mmenizuia jukwaa la Complaints how can i reach you guys!?. Najua sio Ban ningekuwa na taarifa lakini please please return my Account there...
0 Reactions
7 Replies
631 Views
Maisha kuna muda ni mazuri nyie,acheni tu. Siyo lazima uendeshe gari kubwa ,uwe na pesa nyingi hapana. Namaanisha uwe na Amani ya moyo pamoja na pumziko la nafsi. Leo tangu asubuhi baada ya...
11 Reactions
90 Replies
3K Views
Mm kwa wiki ni maramoja ikizidi basi mara 2 tu Pia naomba kujua faida na hasara za kuoga kila mara na kutokuoga kila mara.
3 Reactions
22 Replies
855 Views
Najaribu kutafuta mtu wa kugombana naye sipati. Nimezoea humu JF atajitokeza mtu tutatukanana siku au weeks hapo najisikia saaaaafi kabisa. Hawa jamaa kwenye forums zao na maofisini wapo busy...
7 Reactions
16 Replies
850 Views
Siku ya leo Ijumaa Nilipofika nyumbani nikiwa naitoa simu kwenye mfuko ghafla ikaanguka sakafuni. Vile nimeinyanyua na kuiwasha haiwaki kabisa kuna vidoti tu vinatoa mwanga nikajikokota kwa...
10 Reactions
57 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wana.. Huku duniani kuna watu nahisi wana matatizo ya kiakili na wanahitaji kumuona daktari. Kuna hizi tabia nachukia sana kama mtu kuongea na mimi hadi akusonge...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Je ni mkoa gani wa kwenda kuanza maisha?
0 Reactions
12 Replies
667 Views
Wadau labda huenda mimi nazeeka Vibaya au nimepitwa na wakati Kwa mtazamo wangu naona kama haiko poa mwanaume kujisave picha yako kwenye screen ya simu halafu kila wakati unajicheki au mimi ndio...
20 Reactions
160 Replies
4K Views
Mm nilikuwa na uraibu wa karata na drafti ilikuwa haipiti siku sijafanya hii michezo ila kwa sasa hata nikikuta watu wanacheza sitamani tena kucheza kabisaa.
0 Reactions
11 Replies
508 Views
kuna nguvu ya ajabu kwenye kufanya mambo kimya kimya_ Jifunze kuwa mbinafsi kwa njia sahihi. Kuwa mbinafsi sio ubaya – ni ulinzi wa ndoto zako. Ni kukataa kupoteza muda kwenye kelele za watu...
2 Reactions
1 Replies
246 Views
Malegends, Naombeni list nina kazi nayo personally.
8 Reactions
67 Replies
4K Views
Wakuu, kama kichwa Cha habari kinavyojieleza, this weekend nitakuwa Kilwa(Lindi) nataka nitembelee hii miji mikongwe ya kilwa yaan kilwa Masoko na Kilwa Kivinje.. Naomba kufahamishwa maeneo ya...
2 Reactions
8 Replies
363 Views
Wasalaam ndugu zangu Naomba nilete kwenu hii hoja. Kuna njiwa wawili wa kike na wa kiume Huwa wanakuja kulala nyumbani kwangu, chini ya bati au Dari lakini asubuhi wanaonfoka ikifika jioni...
7 Reactions
12 Replies
526 Views
Je, unatambua kuwa kuna baadhi ya matunda na mboga za majani havitakiwi kuwekwa kwenye Friji? Kuna baadhi ya aina ya Matunda na mboga za majani havihitaji kuwekwa kwenye Friji (Jokofu), Mfano...
3 Reactions
5 Replies
617 Views
Mimi binafsi siwez lala bila mto Siwezi lala uchi yaan mali zangu ziwe naked kabisa siwez lazima nilale na bukta au pensi Siwez lala taa ina waka Siwezi lala mwanzoni mwa kitanda lazima...
8 Reactions
144 Replies
3K Views
Karibuni sana . Ni mwendo wa kuburudika na kuburudisha.
2 Reactions
7 Replies
424 Views
Kuna matunda yananishangaza mfano parachichi ukisema ulinunue jioni usipolila ukilala Tu ukiamka kesho lishaanza kuoza weusi kwa ndani ila yakae pale kwa muuzaji hata kama limeiva ananunua mzigo...
3 Reactions
9 Replies
467 Views
Back
Top Bottom