JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wanaofahamu mkoa wa Mbeya mjini njoo mtujuze! Eti, Mbeya ni jiji kuliko Dodoma? Na, Kitimoto kilo elfu mbili na ndizi tatu bure?
3 Reactions
6 Replies
929 Views
Hapo sijui mshindi ni nani ila kuna mmoja ameshazidiwa kete zote.
2 Reactions
20 Replies
991 Views
Wananchi wa malawi hii wiki tukikaa kizembe tutafaint na hizi bandika bandua, haya tupumzike kidogo. Naandika kwa masikitiko, kwa mnaofanya mazoezi, naombeni mnijibu kwa experience na ushuhuda...
44 Reactions
202 Replies
5K Views
Nasikia Mbezi kuna sehemu inaitwa Msigani, Kwa God na Mbezi Luxury, Kuna Kiwanja gani kingine maeneo ya Mbezi maana week kesho kutwa napata likizo ya kuwa Tanzania kwa miezi 2. Tupeane...
3 Reactions
62 Replies
10K Views
Ni Toto moja la kimasai nimelipata sehem moja maeneo ya Kimara ,kwao geti kali sana,.juzi tukapanda pipa hadi arusha kwao then tukapanda Noah za namanga, tukafika mpakani wakasema lazima turudi...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Najua wanaume wengi hutulia hata kufurahia wakiegemewa na mwanamke kwenye usafiri wa umma, ila je ikiwa ni mwanaume mwenzio, utamuacha?
1 Reactions
43 Replies
1K Views
Nimekaa garini, konda akawa anasema sister naomba tiketi yako, mi nikawa nimetulia mana sikujua kama ananilenga mimi, jamaa karudia kama mara, tatu mwishowe anasema, dada acha dharau, inamana...
7 Reactions
60 Replies
3K Views
Nimesema Mgombea na sijataja Jinsia wala eneo au nchi sasa Wewe jipendekeze ujae katika 18 zangu nikunyooshe Oky?
2 Reactions
4 Replies
535 Views
GT Nimehangaika sana kutafuta hii video sijaipata. Sijui.mganga wangu nimpelekee nini ili mambo yangu yanyooke. Mwenye hii video msaada please
0 Reactions
0 Replies
131 Views
Wanatoa sana kafara ndio maana hawataenda mbinguni
6 Reactions
24 Replies
810 Views
Siku nzuri wakuu! Watasha wanasema "learning is the continuous process from cradle to grave" kujifunza ni kitendo cha kuanzia unazaliwa hadi unakufa..hakikomi..Leo tujifunze hiki kinachowasibu...
12 Reactions
763 Replies
64K Views
Naam shukran zangu za dhati ziende kwa kaka min- me nilijunga jf mwaka huu akawa wa mwazo kunikakaribisha na amekua aki comment na ku like post zangu nyingi. Hii inanipa motisha na hamasa ya...
39 Reactions
420 Replies
6K Views
Huwa nazipenda na kuzikubali sana siku za Alhamisi,Ijumaa na Jumamosi. Hivi Kwanini watu wengi wanaichukia sana siku ya jumatatu? :D
3 Reactions
4 Replies
286 Views
Jana nilikuwa bar moja natafuta usingizi wangu ghafla nikasikia haja ndogo nilipoingia chooni nikakuta mwamba mmoja akihesabu mzigo wake wa kumikumi nikajua huyu jambo linaenda kumkuta...
1 Reactions
2 Replies
301 Views
Shindano liwe la wazi na lifanyike kwenye uwanja wa wazi, kina Mwamposa, Kuhani Musa, na walokole wengine konki, wakashindane na wachawi konki kama Mshana Jr, Bujibuji Simba Nyamaume na wengine...
22 Reactions
127 Replies
6K Views
Watoto wenye umri kati ya 4 hadi 7 ni exquisitive/curious saana. Huu ndiyo umri wao wa kuanza kuchukuza ulimwengu unaowazunguka na ubongo unakua kwa kasi saana. Kama wewe ni mzazi/mlezi/kaka au...
12 Reactions
106 Replies
4K Views
Wakuu, Hawa wenzetu wana ujasiri sana mtu unawezaje kuendesha chombo kama hiki kwenye eneo hatari kama hili? Mimi hii sijaribu labda mnipeleke mental hospital Alafu Watanzania sionagi...
0 Reactions
0 Replies
486 Views
Hawa vijana wa siku hizi kama mnashindwa kupata wachumba kwa nini msikwende kwa wazazi wenu wawatafutie wachumba. Yani kama hiki kipindi kinauzunisha sana kwa hawa vijana.
4 Reactions
7 Replies
389 Views
Kwa maokoto ya kila siku. Hakuna trafiki boya/maskini. Kuwa na balance bank 50m TZS Jambo dogo
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Niko na miaka 28 sasa na naishi kwangu na kazi zangu ila nimekuwa addicted kula kwa watu. Yaani nimejaribu kuacha hiyo tabia ila najikuta kila siku lazima nitafute nyumba walau niende nikadoee...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom