JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu hv kuna nchi hapa Aftica ina rundo la pisi kali na zilizoumbika kama South Africa. Aisee south kuna pisi za maana sana. Nimeona nifunge safari kabisa huu mwezi wanane nizifate huko
9 Reactions
122 Replies
4K Views
Moja kati ya Game Kali sana ya kucheza kupitia simu au kompyuta yako basi ni hii the Walking Dead season 1, 2,3 na 4. Ni game nzuri yenye msisimko wa kipekee utakao kufanya ukicheza unafurahi...
4 Reactions
6 Replies
427 Views
Good morng Ase hii kitu ina ni kwaza sana since nipo mdogo up now tena kipindi nipo mdogo nilikuwa sitamani usiku ufike kabisa ipo hivi Usiku nikiwa nimelala naweza amka katikati ya usiku...
4 Reactions
149 Replies
2K Views
Huku si watoto,si watu wazima wengi wanaishi na VVU tena zile advanced stages (stage 3-4) Ogopa unaenda hospitali unakuta top ten diseases miongoni mwao ni HIV.
10 Reactions
51 Replies
2K Views
Ukifuatilia hiki kipande cha picha mjongeo, unapata picha gani?
7 Reactions
31 Replies
1K Views
GGADZZILA "kama hupati unachopenda penda unachopata" DIZASTA VINA "utairudia kawaida utagundua kuwa haukuwa malaika" WAZEE WANGU KIJIJINI "yote ni ya mungu wengine kula mtama wengine...
7 Reactions
71 Replies
1K Views
Kila mwaka ifikapo tarehe 17 July Duniani watu huweza kusherekea siku ya Emoji Duniani. Emoji ni ishara inayoelezea kwa Namna gani mtu anajisikia Kwa wakati huo. Emojis Kwa mara ya kwanza...
0 Reactions
1 Replies
167 Views
Hivi, nimewaza, Ndege ikiishiwa wese huko angani, inakuwaje! Wanasemaga huko kuna barabara. Rubani anapaki pembeni au anailaza kama wale wa pikipiki wanavyofanyaga? :D :D :D :D
5 Reactions
32 Replies
805 Views
Ila kuna vitu vinachekesha sana🤣🤣
3 Reactions
2 Replies
285 Views
Kwema wakuu. KUNA MAMBO HUTOKEA maishani yanapelekea tutokwe machozi ya huzuni,furaha na hata hasira. Wengine huenda mbali sio tu kutokwa machozi, wao wanabubujikwa machozi wanalia haswa. Ajali...
14 Reactions
204 Replies
4K Views
Tangu tumekubaliana kuhusu ndoa sikuoni ukilifurahia hili jukwaa kama zamani, nadhani huu ni utii kwangu mume wako mtarajiwa na utii kwa ajili ya ndoa pia. Nilitegemea mwezi huu nikipokea rejesho...
7 Reactions
46 Replies
996 Views
Aristotle alifundisha zipo kazi za aina tano: ukulima, mifugo, ujambazi, uvuvi, na uwindaji. Anasema wakati mwingine kazi zinaweza kuunganishwa: kwa mfano kazi ya ukulima unaweza kuichanganya na...
1 Reactions
4 Replies
308 Views
Ukiachana na pesa na mishe za kutafuta pesa mimi huwa na priotize sana Amani (Peace of mind), marafiki wafaida pamoja na Heshima. We vitu gani vina umuhimu kwako?
2 Reactions
9 Replies
318 Views
Hivi ni mimi tu au? Siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la bans. Watu wanalimwa ban shoto kulia. Na nyinyi mmeliona hilo? Halafu kuna mods wawili ambao ni wachemkaji sana ila mmoja...
5 Reactions
124 Replies
8K Views
Hell Katika maisha tumepitia mengi sana na kukutana na watu tofauti Boss wangu wa kwanza alikuwa wakike huyu alikuwa mkali sana ukikosea kidogo ana kusema mbele za watu akimaliza ana kuambia...
6 Reactions
30 Replies
910 Views
Kwa unavyojijua, mwanao akutegemee zaidi kwenye home works za somo gani!? Mimi mwanangu kwenye Hesabu maskini nitamuabisha 🤣
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Moja ya ndoto ya mwanadamu ni kuishi maisha mazuri yenye mafanikio amani pia Pia sehemu ya kuishi au mkoa ni Moja ya ndoto ya watu wengi kutokana na fursa za eneo Hilo ikiwemo Bata nyingi, hali...
5 Reactions
45 Replies
960 Views
Kuna sehemu nimeona tangazo la kazi, na hakuna mtu aliyeomba; sasa najiuliza hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi? Wanahitajika:- Wachoma mahindi nafasi 2000 Watembeza kahawa maeneo...
14 Reactions
109 Replies
3K Views
Tukifika Mbinguni kuna Maisha ya milele Milele ipoje? Yani siku haziishi tumezoea kuna Matukio gani yanatokea huko?
2 Reactions
7 Replies
196 Views
Back
Top Bottom