Wakuu hv kuna nchi hapa Aftica ina rundo la pisi kali na zilizoumbika kama South Africa.
Aisee south kuna pisi za maana sana.
Nimeona nifunge safari kabisa huu mwezi wanane nizifate huko
Moja kati ya Game Kali sana ya kucheza kupitia simu au kompyuta yako basi ni hii the Walking Dead season 1, 2,3 na 4. Ni game nzuri yenye msisimko wa kipekee utakao kufanya ukicheza unafurahi...
Good morng
Ase hii kitu ina ni kwaza sana since nipo mdogo up now tena kipindi nipo mdogo nilikuwa sitamani usiku ufike kabisa ipo hivi
Usiku nikiwa nimelala naweza amka katikati ya usiku...
Huku si watoto,si watu wazima wengi wanaishi na VVU tena zile advanced stages (stage 3-4)
Ogopa unaenda hospitali unakuta top ten diseases miongoni mwao ni HIV.
GGADZZILA "kama hupati unachopenda penda unachopata"
DIZASTA VINA "utairudia kawaida utagundua kuwa haukuwa malaika"
WAZEE WANGU KIJIJINI "yote ni ya mungu wengine kula mtama wengine...
Kila mwaka ifikapo tarehe 17 July Duniani watu huweza kusherekea siku ya Emoji Duniani. Emoji ni ishara inayoelezea kwa Namna gani mtu anajisikia Kwa wakati huo.
Emojis Kwa mara ya kwanza...
Hivi, nimewaza,
Ndege ikiishiwa wese huko angani, inakuwaje! Wanasemaga huko kuna barabara. Rubani anapaki pembeni au anailaza kama wale wa pikipiki wanavyofanyaga? :D :D :D :D
Kwema wakuu.
KUNA MAMBO HUTOKEA maishani yanapelekea tutokwe machozi ya huzuni,furaha na hata hasira.
Wengine huenda mbali sio tu kutokwa machozi, wao wanabubujikwa machozi wanalia haswa. Ajali...
Tangu tumekubaliana kuhusu ndoa sikuoni ukilifurahia hili jukwaa kama zamani, nadhani huu ni utii kwangu mume wako mtarajiwa na utii kwa ajili ya ndoa pia.
Nilitegemea mwezi huu nikipokea rejesho...
Aristotle alifundisha zipo kazi za aina tano: ukulima, mifugo, ujambazi, uvuvi, na uwindaji.
Anasema wakati mwingine kazi zinaweza kuunganishwa: kwa mfano kazi ya ukulima unaweza kuichanganya na...
Ukiachana na pesa na mishe za kutafuta pesa mimi huwa na priotize sana Amani (Peace of mind), marafiki wafaida pamoja na Heshima.
We vitu gani vina umuhimu kwako?
Hivi ni mimi tu au? Siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la bans. Watu wanalimwa ban shoto kulia.
Na nyinyi mmeliona hilo?
Halafu kuna mods wawili ambao ni wachemkaji sana ila mmoja...
Hell
Katika maisha tumepitia mengi sana na kukutana na watu tofauti
Boss wangu wa kwanza alikuwa wakike huyu alikuwa mkali sana ukikosea kidogo ana kusema mbele za watu akimaliza ana kuambia...
Moja ya ndoto ya mwanadamu ni kuishi maisha mazuri yenye mafanikio amani pia
Pia sehemu ya kuishi au mkoa ni Moja ya ndoto ya watu wengi kutokana na fursa za eneo Hilo ikiwemo Bata nyingi, hali...
Kuna sehemu nimeona tangazo la kazi, na hakuna mtu aliyeomba; sasa najiuliza hawa wanaosema ajira hakuna, wanataka ajira zipi?
Wanahitajika:-
Wachoma mahindi nafasi 2000
Watembeza kahawa maeneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.