Habari zenu wana Jf wote natumaini hamjambo .
Tarehe kama ya leo ilikua mwaka 2017 nilijiunga rasmi katika mtandao huu pendwa wa Jf.Mara ya kwanza kuijua Jf ilikua gugo wakati natafuta content...
Moja kwa moja..
Huu mtindo umeshamiri haswa kwa vijana unakuta mtu ameanza kukutext au wewe umeanza kumsalimia baada ya kujibu text yake inayofuata "nipange "au "niambie" mimi mara nyingi hapo...
Mbona hamjawahi jitokeza kutupa Elimu,mlianzaje,mkakomaaje,mnafanyaje na mnafaidikaje au mnababukaje na maombi ya watu wenye Imani ya kweli?
Nimeona mpo kimya sana au ndiyo kujisahaulisha tu?
Habari zenu wazeiya ,nilikuwa busy kidogo ,
Juzi nimepata fursa ya kutembelea Tanzania house in Sweden, na kumuona mzee mwenye Busara, Dr wilbroad slaa,
Kusema kweli ni mtu wa watu na ana upendo...
Kwa wale wote ambao mko nje ya Tanzania hapa panawahusu
Kwanza tunataka kujua uzoefu changamoto zenu na mnayakabili vipi maisha ya huko
Hapa tupate kujua unapendelea safari na kampuni gani au...
Hivi mnawezaje kuishi bongo, nchi ina kila aina ya changamoto na siasa majitaka, hiyo nchi inakwaza sana.
Baada ya kupata scholarships kuja kusoma huku majuu nilisema sitakuja kurudi na kuishi...
Una swali la kizushi kwangu au kwa member yoyote wa JF? njoo uliulize hapa!
Mimi naanza na hawa;
Kaka Mshana Jr - umeshawahi kushuhudia live mambo ya nguvu za giza / kichawi na ilikuaje...
Habari wakuuu,
Naweza kusema mimi sio mkongwe sana, nimejiunga hapa jukwaani mwaka 2018, tokea nimejiunga apa members niliowaexperience kusoma mada na michango yao mingi ni wafuatao...
Salaam wakuu, siku ya Jana nili pata wageni ambao ndio mara yao kwanza kuja bongo, na kwakuwa wame kuwa waki sikia story za ubabe, nguvu za vijana wengi wa kitanzania.
Wame niomba niandae...
Amani ndiyo msingi mkuu katika maisha yangu! Kwa hapa nilipofikia,napenda kuwashukuru hawa wafuatao:
Asante mama!
Asante Elimu
Asante Kikwete, Magufuli na Samia (mshahara huu)
Asante...
Asubuhi na mapema nimeamka zangu na wenge la usingizi, Nakuta message mbili kwenye simu yangu, Nikasoma ya kwanza inaniambia kwamba, "Ndugu samahani nimekutumia bahati mbaya SH 500,000, Nimejaribu...
Nakaambia kademu kangu ka 2005 kuwa nipo geto nimejilaza kwenye mkeka, eti kanasema "mkeka ndo nini au ndo zile ngozi waliolalalia slaves (watumwa) ?
🤣🤣
Aisee dunia inabadilika kwa kasi sana
Nimejaribu kiwasiliana nanyi lakini hamsomi sms zangu and mmenizuia jukwaa la Complaints how can i reach you guys!?. Najua sio Ban ningekuwa na taarifa lakini please please return my Account there...
Maisha kuna muda ni mazuri nyie,acheni tu.
Siyo lazima uendeshe gari kubwa ,uwe na pesa nyingi hapana.
Namaanisha uwe na Amani ya moyo pamoja na pumziko la nafsi.
Leo tangu asubuhi baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.