JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna siku nilijaribu kumtukuza mtukufu madam na taasisi yake humu JF Nilitaka kutupa simu na nilijiona kweli mimi sina uvumilivu tena hapo nilijiandaa Sipati picha hao jamaa wana mioyo gani hata...
15 Reactions
41 Replies
332 Views
Leo Tarehe 20 mwezi wa 08 kama Leo Mimi Muyabi colors ndo nimezaliwa Najitakia siku. Njema ya kuzaliwa natimiza miaka kadhaa ndugu zangu, Pia ruksa kusema umezaliwa mwezi na tarehe kama hii...
2 Reactions
13 Replies
55 Views
Kumekuwa na uhitaji mkubwa wa kutuma watu, hasa wengi hutumia waendesha bodaboda, kuwaletea vyakula mfano; chipsi, nyama choma, vyakula vilivyopikwa, matunda yaliyo katwakatwa, juisi n.k na...
6 Reactions
37 Replies
254 Views
Huu mwezi watu wameaga sana.saiv kila siku nauza majeneza mawili au moja.kwanza jana imeondoka miili tano hapa mochari. Nashukuru sana maana riziki saivi imenikubali sana.
0 Reactions
4 Replies
48 Views
Siku zimeenda sana, tarehe 9/11/2017 mwamba kabisa wa nguvu the man himself Dr. Louis Shika alitoa somo kubwa sana la kujiamini kwa wanajamii pale aliponunua majengo ya Bilionea Said Lugumi kwa...
0 Reactions
0 Replies
33 Views
Kwema, salamu zisiwe nyingi. Twende kazi una hamu ya kitu gani leo?
12 Reactions
578 Replies
13K Views
Habari wana JF Matumaini yangu wote mko poa kabisa. Uzi huu ni kwaajili ya wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za...
278 Reactions
431K Replies
20M Views
1: Kama Jesus walimsurubu kwa kuponya na kufanya miujiza iweje wewe ukubalike? de Gunner amekuwa na kitu special katika jukwaa hili.. Ni mtu aliyependa ukweli, alipenda kuongea point na kuitetea...
10 Reactions
71 Replies
707 Views
"Don't waste your time on revenge. The people who hurt you will eventually face their own karma.🎯" Usaorere ifre lyako o mndu ula kukoora kisasi. Wandu wala wakukorere ufi, upu upu wavone ifre...
6 Reactions
46 Replies
423 Views
Sisemi kwamba hawana akili kabisa la hasha nazungumzia akili kwa kipimo walau cha professor achana na akili za kiwaida tu. Nashindwa kuweka vizuri ili nieleweke vyema lakini kwa % kubwa hawa watu...
25 Reactions
194 Replies
3K Views
Kaniuliza kwamba..... Kati ya sim na biblia, ilitokea vimeanguka kwa pamoja... nitawahi kudaka nini?? Mie nimemjibu, nitaiwahi sim na kuacha biblia ianguke. Yeye akaniuliza.... kwanini sio niwahi...
7 Reactions
21 Replies
167 Views
Mimi huwa naenda kwa ajili ya kusikiliza mziki wenye 'vibe' pamoja na kuosha macho kwa kuona warembo walivyopendeza. Hii inaniondolea msongo wa mawazo wa kimaisha na kuendelea kutamani kuishi...
16 Reactions
166 Replies
848 Views
Madame B, Evelyn Salt , Zion Daughter, FirstLady1, Nazjaz, cacico, Asha D Abinallah , Kipaji Halisi. Asprin, Arushaone , Kaka kiiza, kuna jambo letu pande hizi
21 Reactions
219 Replies
2K Views
Kuna mahusiano yapo kwenye methali isemayo "mvumilivu hula mbivu" but another time inageuka "ngojangoja huumiza matumbo" "Waliochagua Nazi wakaishia koroma" wamebaki kupata na "usiache mbachao...
4 Reactions
120 Replies
6K Views
Chakula cha mawe" nchini China ni chakula cha kitamaduni kinachoitwa Suodiu (嗦丢), ambapo mawe madogo ya mtoni yanakaangwa na viungo kisha unanyonya ladha yake na kuyatema bila kuyameza. Chakula...
3 Reactions
20 Replies
177 Views
Asubuhi: Ma-Don wa Chai ya Rangi Siku inaanza saa kumi na moja alfajiri kwa nyuzi za kujimwambafai. Raia wanaanzisha mada za "Niko Five star hotel Dubai..nakunywa capuchino ya Brazil huku...
8 Reactions
74 Replies
633 Views
Sisi watanzania wote ni watani tu ,kwa desturi zetu hatuna shida tukitaniana. Hii bato ya wachaga na wasukuma naona kama imelazimishwa mno , hakuna bato hasa ya kiuchumi kati ya hayo makabila...
8 Reactions
25 Replies
191 Views
Wanasayansi walipokuwa wakipanga sifa za wanyama mbalimbali , ngiri alikuwa kwenye mashimo yake kwa hiyo waliishia kuwapa mataji wanyama wasio na sifa. Ufalme wa msituni ulienda kwa simba...
17 Reactions
85 Replies
5K Views
Kwa nini upo JF? Na majibu yote ntaya-reply yalivyokuja
5 Reactions
89 Replies
472 Views
Mtafute hapa ulioptezana nae muda mrefu. Karibuni.
0 Reactions
8 Replies
73 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…