Futuhi ya vyakula China! Wanapika mpaka mawe

Futuhi ya vyakula China! Wanapika mpaka mawe

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,060
Reaction score
859,143
Chakula cha mawe" nchini China ni chakula cha kitamaduni kinachoitwa Suodiu (嗦丢), ambapo mawe madogo ya mtoni yanakaangwa na viungo kisha unanyonya ladha yake na kuyatema bila kuyameza. Chakula hiki kimepewa jina la utani kama "chakula kigumu zaidi duniani" kwa maana halisi ya neno kuliko vyakula vyote.
Sasa hawapiki mawe tu bali vingine vingi tuu visivyo na uhai
 
Kumbe ndio maana wachina wanajenga magorofa kwa haraka sana, kumbe siri ni kwamba miili yao ina asilimia kubwa ya concrete kuliko damu.
 
Kumbe ndio maana wachina wanajenga magorofa kwa haraka sana, kumbe siri ni kwamba miili yao ina asilimia kubwa ya concrete kuliko damu.
1d691dd9-47f0-4295-8af1-483e1d15487e.jpeg
 
Mlitusema sana wapare kwa ubahili kumbe hamkuwaona wabimba macho
817ad2f0-4104-4dcc-8a30-608606079bde.jpeg
 
Eeh hapo umenena sana bana, kumbe ndio maana wakichina wanajenga haraka, miili yao imejaa saruji. Najaribu kufikiria ladha ya mawe yale, labda inakaa kama kuku wa kukaanga na mchanga? 😂
 
Chakula cha mawe" nchini China ni chakula cha kitamaduni kinachoitwa Suodiu (嗦丢), ambapo mawe madogo ya mtoni yanakaangwa na viungo kisha unanyonya ladha yake na kuyatema bila kuyameza. Chakula hiki kimepewa jina la utani kama "chakula kigumu zaidi duniani" kwa maana halisi ya neno kuliko vyakula vyote.
Sasa hawapiki mawe tu bali vingine vingi tuu visivyo na uhaiView attachment 3652563
Kwa mantiki hiyo, haiwezekani kutokea njaa huko kwani mawe hayo si unaweza kuyarudishia tena na tena jikoni bila ukomo au ndiko ulikoanzia msemo ule wa supu ya mawe?
 
Back
Top Bottom