JF Chit-Chats

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hapa ni katika level zote 3 za elimu shule ya Msingi, sekondari na Kidato cha 5 na cha 6. Mimi nakumbuka niliwahi kamatwa na simu kengele ikagongwa nikaipasua kwa mawe hadharani..
18 Reactions
169 Replies
8K Views
Msn Messenger 2007, kipindi hiko watoto wadogo mnafundishwa "that is an orange" sisi tulikuwa humu msn tukisoma habari za mambele na kufuatilia ulimwengu unaendaje.. Hii marafiki, juu hapo...
36 Reactions
408 Replies
10K Views
Nimeona wachina wengi sana samaki samaki kuna ishu gani inaendelea?
1 Reactions
5 Replies
462 Views
Wakuu Karibuni Dodoma Ambako Kuna Bar, Lounge na Hotel NZuri Kwa ajili kula Gambe na Kuenjoy Pia. Kuna Bar NZuri Kama Bambalaga, Pork Joint, Pestana Pub, New Royal Village. Pia Kuna Malaika...
2 Reactions
25 Replies
11K Views
HONGERA wASIRA.......YUPO.......YUPO..........YUPO................YUPO......................YUPO......................YUPO Steven wasira 80 YRS OF AGE...........................YUPO Pia soma...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
1. Kuwadanganya watu wa mwanza kuwa dagaa zao ni tamu kushinda dagaa Mchele wa pwani na dar na WA majichumvi huu unafiki nmeuvumilia mda MREFU sana kiukweli dagaa watamu ni wa 1. DAR, 2.MWANZA...
18 Reactions
96 Replies
3K Views
Bandugu! Kesho Hapa Dar es Salaam jambo kubwa ni mchezo wa Yanga dhidi ya MC Alger katika kufunzu kwenda robo fainali ya klabu bingwa Afrika. Naamini timu yangu ya Yanga itapiga tu na kufuzu...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
Habari zenu wakuu. Nipo maeneo ya Muheza town. Kama kuna mdau anayajua maeneo haya, anielekeze chocho moja matata ya kula raha. Si mbaya kama nikipata toto moja ya kitanga ikanikata huu msongo.
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Tunsume - tumuombe Mungu Tumpale - tumsifu Mungu Wenye.majina zaidi watiririke hapa Naruhusu corrections Edited*
1 Reactions
165 Replies
43K Views
Kufuatia ongezeko la abiria toka mkoa wa Kagera kwenda nchi nyingi za Ulaya. Shirika la Ndege la Air France linatarajia kuanza safari zake kutokea kiwanja cha ndge cha BUKOBA (BKZ) - Paris Charles...
10 Reactions
42 Replies
3K Views
Ilikuwa hivi, familia wapo sitting room wakiangalia DVD ya movie siku ya weekend sasa kuna sehemu flani ikafikia wahusika wakaanza kukiss huku wamelegeza macho huku akiendelea kumvua blausi...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii series nasema ndiyo best kabisa imeigiza maisha watu wanavyokimbizana na hatima zao Kwa tamaa ya pesa Ila kinachoniumiza kichwa hii series Kila mtu ALIESHIRIKI amechezewa mchezo 😁hata...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Mulokozi (Mhaya) kamaliza degree ya sheria UD, sasa karudi Bukoba akaanzisha kijiofisi chake. Shughuli ikaanza hivi, kakaa kwa muda mrefu bila ya kupata customer kama zali vile, siku moja kijana...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
They see you wet from the bathroom, they ask were you taking a bath The answer : No I was sleeping. They see you sleep yet they ask, are you sleep The answer : No I'm in a coma. Your...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamaa mmoja alikuwa na demu wake wa muda mrefu sasa akaamua amvalishe pete ya uchumba. Jamaa kaingia dukani akaona pete nzuri sana ya gold ile kuiona tu mshtuko ukampata akajamba, kisha akamuuliza...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kulikuwa na Mfalme mmoja mpenda haki aliyetawala miongo ya nyuma. Sasa wakati anaingia katika ufalme akasikia katika wale anaowaongoza yaani watu wake kuwa kuna maadui wawili wakubwa ambao...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Mama mmoja mcha Mungu alikuwa na jirani yake mwenye roho mbaya kupita kiasi, siku moja akafungulia mabata yake ili yakajitafutie chakula. Bahati mbaya yakaenda kwa jirani yake, jirani kuyaona...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mama mmoja mcha Mungu alikuwa na jirani yake mwenye roho mbaya kupita kiasi, siku moja akafungulia mabata yake ili yakajitafutie chakula. Bahati mbaya yakaenda kwa jirani yake, jirani kuyaona...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Eti anasema "hio ilikuwa miaka ya 80 nini ??🤣🤣🤣🤣🤣" Millenials mmeanza kuwa makumbusho ya taifa sasa
0 Reactions
17 Replies
685 Views
Mimi Ni mmoja wa wanachama wa CHADEMA ambao kutwa Ni kulia Lia mitandaoni tu. Mara Katiba mpya, tume huru, kukosoa mawaziri bhaasi tumemaliza ila kwenye CHADEMA hatuna demokrasia (kikomo cha...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…